Queen Esther
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 2,194
- 1,416
Wana JF hamjambo?
Nimeona watu wengi wanaojiita great thinkers wakizungumzia miradi inayofanyika Chato!
Hii inasikitisha sana kwa macho yootee kuangalia sehemu moja! Wabunge wengi wanafahamu nini kimetekelezwa na kinaenda kutekelezwa kwenye maeneo yao! Ila wapo kimyaaaa! Kinachofanyika Chato ni kwasababu kimepata wasemaji kwenye mitandao ya Jamii na media nyingine.
Natamani JF ingeweka utaratibu tukaona mambo makubwa yanayofanyika nchi nzima. Wekeni taarifa ya kila Wilaya, inakaa wiki nzima au siku 3 unaweka Wilaya nyingine
Mambo yaliyofanyika Chato na miradi iliyopelekwa ni michache kuliko Wilaya mbalimbali nchini! Tuache wivu na macho ya husuda!! Mkapa aliamua kujenga Lushoto sasa shida iko wapi? Kuna wengine wamenunua majumba ughaibuni nk Hata Mzee Kikwete amelisemea sana hili na yeye yalimkuta ikawa nongwaaa!
JF ni mahali Sahihi sasa tupate taarifa za Maendeleo Wilaya kwa Wilaya. Msisahau kuonesha na idadi ya watu kwenye eneo husika ili wale wa Kaskazini waone walivyopendelewa!
Sasa tuache maneno tuweke data! Mwisho mfahamu Chato wanaishi Watanzania wenzetu hivyo wakipelekewa Maendeleo ni Sawa! Acheni upotolo! "Chicken vision"! Eagle vision ndio mpango mzima.
Nimeona watu wengi wanaojiita great thinkers wakizungumzia miradi inayofanyika Chato!
Hii inasikitisha sana kwa macho yootee kuangalia sehemu moja! Wabunge wengi wanafahamu nini kimetekelezwa na kinaenda kutekelezwa kwenye maeneo yao! Ila wapo kimyaaaa! Kinachofanyika Chato ni kwasababu kimepata wasemaji kwenye mitandao ya Jamii na media nyingine.
Natamani JF ingeweka utaratibu tukaona mambo makubwa yanayofanyika nchi nzima. Wekeni taarifa ya kila Wilaya, inakaa wiki nzima au siku 3 unaweka Wilaya nyingine
Mambo yaliyofanyika Chato na miradi iliyopelekwa ni michache kuliko Wilaya mbalimbali nchini! Tuache wivu na macho ya husuda!! Mkapa aliamua kujenga Lushoto sasa shida iko wapi? Kuna wengine wamenunua majumba ughaibuni nk Hata Mzee Kikwete amelisemea sana hili na yeye yalimkuta ikawa nongwaaa!
JF ni mahali Sahihi sasa tupate taarifa za Maendeleo Wilaya kwa Wilaya. Msisahau kuonesha na idadi ya watu kwenye eneo husika ili wale wa Kaskazini waone walivyopendelewa!
Sasa tuache maneno tuweke data! Mwisho mfahamu Chato wanaishi Watanzania wenzetu hivyo wakipelekewa Maendeleo ni Sawa! Acheni upotolo! "Chicken vision"! Eagle vision ndio mpango mzima.