Ndikwega
R I P
- Feb 1, 2012
- 5,979
- 5,524
Kuna Wabunge wengi hususan wa kutoka CCM, miaka yote waling'ang'ania saana hizi nafasi za Ubunge ili wapate mwanya wa Kulinda Biashara zao au kupiga pesa bure bure kwenye Kamati za Bunge.
Awamu hii ya 5 Rais Magufuli kawabana kisawasawa mpaka wanapangiwa kipi cha Kufanya ama kutetea Serikali muda wote.
Kuna Wabunge wengi walitumia fedha kubwa saana kupata nafasi za Ubunge. Mbunge wa Rungwe Mashariki Ndg. Sauli H.Amon ambaye ni Mmiliki pia wa Super Market za Vipondozi maarufu kwa jina la S.H.Amon Enterprises Ltd, Hotels kwa Jina la LandMark Hotel pamoja na Lodges kwa jina la PATTAYA, hakika huyu ndugu hana hamu tena Ubunge maana Umedhoofisha saana Kiuchumi. Mfano moja wapo ni Kufungwa kwa Landmark Hotel ya Ubungo.
Sasa hivi Ubunge hauna deal tena kwa Wale walioingia kwa gia ya kulinda Biashara zao na Kuvuna visivyo na Jasho.
Poleni Wabunge wa CCM.
Awamu hii ya 5 Rais Magufuli kawabana kisawasawa mpaka wanapangiwa kipi cha Kufanya ama kutetea Serikali muda wote.
Kuna Wabunge wengi walitumia fedha kubwa saana kupata nafasi za Ubunge. Mbunge wa Rungwe Mashariki Ndg. Sauli H.Amon ambaye ni Mmiliki pia wa Super Market za Vipondozi maarufu kwa jina la S.H.Amon Enterprises Ltd, Hotels kwa Jina la LandMark Hotel pamoja na Lodges kwa jina la PATTAYA, hakika huyu ndugu hana hamu tena Ubunge maana Umedhoofisha saana Kiuchumi. Mfano moja wapo ni Kufungwa kwa Landmark Hotel ya Ubungo.
Sasa hivi Ubunge hauna deal tena kwa Wale walioingia kwa gia ya kulinda Biashara zao na Kuvuna visivyo na Jasho.
Poleni Wabunge wa CCM.