sio kwamba hata kingekuwa chama gani?JK mwenyewe kashindwa kuweka mfumo mzuri utakaoondoa hili,suluhisho sio kwa wabunge wa CDM kutozichukua hizo 90 bali ni kupigania nchi iwe na mfumo utakaoleta usawa.Hakuna kurudisha kila mmoja achukue tu maana hii ni nchi ya wajinga. Tutakoma! Najua hata kingekuwa chama gani lazima haya yangekuwapo tu wala watu wasitake kujikosha hapa.
hiyo ni bora zaidi ya kuzikataa, maana hazitarudi hazina.zitaishia tu mikononi mwa wanyang'anyi
Hapo nimekupata mkuu,Aaaa Mallaba bana, there must be an impact. Pinda alikataa shangingi ilikuwa ni milestone ingawa wengi walibeza nadhani kuna impact katika uamuzi wa serikali kupanga kununua mashangingi in the future.
Sina uhakika sana kwamba hizo pesa hazitarudi hazina, zingatia Zitto ni waziri wa fedha kivuli bwana atafuatilia.
Lakini jiulize pia impact itakayowapata Chadema kama wakikubali hayo mashangingi. Yaani waswahili wanasema heri nusu shari kuliko shari kamili au siyo mkuu.
sio kwamba hata kingekuwa chama gani?JK mwenyewe kashindwa kuweka mfumo mzuri utakaoondoa hili,suluhisho sio kwa wabunge wa CDM kutozichukua hizo 90 bali ni kupigania nchi iwe na mfumo utakaoleta usawa.
Nchi inahitaji mifumo mizuri yenye kuleta usawa kwani Vigogo wa serikali wanachota hela nyingi mno yaan WAZIRI mmoja kumtunza ni sawa na kuwatunza mamia ya wanaichi huku kijijini kwetu
N anapolitumia hilo gari kwani ni nani anayemsaidia kulipa hilo deni?Ahaa, wazichukue lakini wakazitumie kutoa huduma kwa wananchi majimboni mwao. Lakini ujue huo ni mkopo ambao hukatwa kwenye mshahara wa wabunge, je wananchi watamsadia mbunge kulipa deni hilo?
sio CDM wazikatae bali washinikize mabadiliko ya kisera yatakayoleta usawa.Nchi hii inaporwa mamiliono ya fedha na watanzania wenzetu inaitajika sera na sheria madhubuti na sio kuzikataa hizo 90,90 kisha wanawaachia shamba nguruwe CCM yalile lote.Hapo umesema ukweli,
wabunge karibu wote ni uozo tu.
Ila CDM wakifanya basi itakuwa ni fundisho kwa wengine wote.
nasisitiza nchi hii haina matatizo ya pesa ni tajiri sana ila tatizo ni mgawanyo usiosawa ambao ni zao la sera na sheria zetu.Sasa Marytina dada yangu, si unajua Chadema ni serikali kivuli? Jana Mbowe alitangaza baraza la mawaziri dogo kwa sababu ni sera yao. Iweje leo wachukue hizo pesa kwa sababu wengine wote wanachukua?
Kama ni mifumo, si wao wanatakiwa watuoneshe kwa vitendo badala ya kuendelea kufaidi ndani ya mfumo mbovu huku wanatudanganya kwamba eti ni mbovu?
sio CDM wazikatae bali washinikize mabadiliko ya kisera yatakayoleta usawa.Nchi hii inaporwa mamiliono ya fedha na watanzania wenzetu inaitajika sera na sheria madhubuti na sio kuzikataa hizo 90,90 kisha wanawaachia shamba nguruwe CCM yalile lote.
ngoja tu siku moja watu wakate tamaa waende Jangwani Square.. !!!
ngoja tu siku moja watu wakate tamaa waende Jangwani Square.. !!!
kwa hesabu za nyepesi inatosha kabisha kwa mbunge kununuliwa nissan hard top ambayo haizidi milioni 45 that means tax exception.na fedha zinazobaki zikaelekezwa katika sehemu nyingine ambazo zingeleta tija kwa jamii
- inaonyesha hata fedha kwa ajili ya kutatua tatizo la umeme hapa nchini zipo ila wanazibania tu.ukifanya hesabu ya harakaharaka unaweza ukajua kuliko serikali kununua bajaji 400 wangechukua zile fedha za magari ya wabunge wakanunua ambulance kwa kila jimbo.
- pili ni magari gani wanaenda kununua kwa hizo fedha?
ni vizuri tukahoji ina maana wabunge waliokuwepo kwenye bunge lililopita nao wanapata tena hizo fedha za magari au inakuwaje? je ambao ni wakuu wa mikoa na wabunge pia nao wanapata tena
Mh. Lema mbunge wa Arusha akatatae hizo milioni 90 ili iwe mfano kwa wabunge wengine na wananchi kwa ujumla!!