Gosbertgoodluck
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 2,856
- 401
mkuu si swala la PPRA tu hata mamlaka zinazotoa leseni nazo ni za kuwajibishwa kwa kutoa leseni kwa kampuni zisizokuwa na makazi
Ningekuwa na mamlaka ningepitia orodha yote ya makampuni yaliyopitishwa na GPSA ili kujiridhisha. Ningeenda mpaka BRELA nifukue na wamiliki wa makampuni hayo. Bila shaka, ningekamata wakubwa wengi.