kijiichake
JF-Expert Member
- Oct 13, 2010
- 284
- 58
Napendekeza katika katiba mpya kiwekwe kifungu kitakacho wabana wabunge na kuwaengua, iwapo watakosa kuwatumikia wanajimbo waliomchagua. Nasema hivyi kutokana na tabia ya mbunge wangu wa rombo joseph selasini, kutukacha na kushugulikia maslahi ya tumbo lake na familia yake, kwa sasa rombo ni kama hatuna mbunge anae tuwakilisha, huyu selasini amekuwa kiguu na njia kuzitetea sera na miswada ya ccm bungeni, pia amekwenda kinyume na chama kilichompeleka bungeni Chadema, alipokuja kutuomba kura alituahidi kuja kuishi nasi rombo, pia akatupatia namba ambazo tutakuwa tunawasiliana nae nazo ni 0754580201, 0784580201. Namba hizo ukipiga hazipokelewi ama azipatikani, huyu mbunge amekuwa sharubaro, Mungu msaidie pesa mbili mramba, kesi aliyoifungua kupinga kushindwa kwake iishe mapema ili tukampate mbunge mpya mwanamke na sio sharobaro tena. Nitakusanya saini laki moja rombo nizipeleke kwa kamati kuu ya chadema ili inifutie uwanachama sharobaro huyu asiekuwa na utu. Kifo kilichomchukua Mh, Regia mtema, na jr sumari, kingekuja na huku kwetu rombo kituondolee mwongo huyu aitwae joseph selasini. Aliye karibu nae na amjulishe kwamba afanyayo sio mazuri hata kidogo, laana ya warombo haitamsaza yeye wala familia yake.