Nimekuwa nikifuatilia mijadala wakati wa vikao vya bunge letu tukufu,nilichogundua ni kwamba uwezo wa baadhi wabunge wetu ni duni mno kiasi ya kuwa wanashindwa kuchangia mijadala muhimu sana kwa maendeleo ya taifa letu.Rai yangu ni kwamba uchaguzi wa 2015 ni lazima vyama vyote vya siasa kuhakikisha ya kuwa wabunge wao wanakuwa na elimu ambayo itamsaidia si tu kuchangia mijadala ndani ya bunge pamoja na kuelewa miswada ambo huwa inakuwa imeandikwa kwa lugha ya kingereza