Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,086
- 4,881
Spika wa Bunge amemfukuza mbunge kwa kutokuvaa mavazi yenye maadili kwa Bunge .
Ili kuepusha hilo nashauri wabunge nao waamue kuvaa majoho kama wafanyavyo madiwani kwani uamuzi huo utakuwa ndio tiba sahihi la kuvaa mavazi yenye kukidhi maadili yetu.
Pia maadili isiwe kwenye mavazi tu bali maadili yawe pia kwenye kuheshimu Katiba na Sheria za nchi kwani ndio utamaduni wetu. Hivyo basi Spika awe mfano wa kiongozi anayetakiwa kuwa na maadili ya kuheshimu katiba aache kuichezea.
Ili kuepusha hilo nashauri wabunge nao waamue kuvaa majoho kama wafanyavyo madiwani kwani uamuzi huo utakuwa ndio tiba sahihi la kuvaa mavazi yenye kukidhi maadili yetu.
Pia maadili isiwe kwenye mavazi tu bali maadili yawe pia kwenye kuheshimu Katiba na Sheria za nchi kwani ndio utamaduni wetu. Hivyo basi Spika awe mfano wa kiongozi anayetakiwa kuwa na maadili ya kuheshimu katiba aache kuichezea.