bensonlifua92
Member
- Dec 9, 2010
- 84
- 33
Nawasikiliza wabunge wa pande zote mbili yaani wa CCM na wale wengine wa CHADEMA, CUF, NCCR, n.k. Ninachokiona kutoka kwa wale wa CCM ni siasa na kutozingatia nini kinaendelea sasa katika taifa letu. Waheshimiwa wabunge wananchi wana changamoto kubwa za maisha sivyo mnavyodhani nyie wabunge. Hamko serious kabisa wabunge mnaounga hoja 100%. Utaungaje hoja 100% yaani kweli 100% huo ni upungufu kabisa na hii naungana na Mch Msigwa "....AKILI NDOGO KUTAWALA AKILI KUBWA...."
Wabunge wa CCM hawajitofautishi wao na Serikali yao ya CCM, .....wabunge nyie siyo watendaji wa serikali acaheni ushabiki.... Wao wanadhani wanawakomoa CHADEMA kwa kusema yale yote wanayosema bungeni...... naunga mkono 100%......Kwa ujumla wanawakomoa wananchi na siyo Chadema...
Ushauri wangu wabunge wote wanaounga hoja 100% wasiendelee kuchangia tena maana baada ya hapo wanakuwa wanapoteza muda tuu maana hana mapya zaidi ya hoja yenyewe. Pia wengi wanaounga 100% hoja na wanaendelea kuchangia wanaishia kujichanganya na kutoeleweka kabisa maana anaishia kukosoa hiyo bajeti tena na anakosa msimamo wake ni upi. Hivi hawa watu wanajua kama sisi watanzania tunawaona na kwamba tunakuja wahukumu jinsi walivyo? Mfano mtu anaunga 100% bajeti halafu anasema hii bajeti imekuja na vipaumbele vilevile why? sasa mtu kama huyu utamwitaje..... mpe jina wewe.....
Nawasilisha
Wabunge wa CCM hawajitofautishi wao na Serikali yao ya CCM, .....wabunge nyie siyo watendaji wa serikali acaheni ushabiki.... Wao wanadhani wanawakomoa CHADEMA kwa kusema yale yote wanayosema bungeni...... naunga mkono 100%......Kwa ujumla wanawakomoa wananchi na siyo Chadema...
Ushauri wangu wabunge wote wanaounga hoja 100% wasiendelee kuchangia tena maana baada ya hapo wanakuwa wanapoteza muda tuu maana hana mapya zaidi ya hoja yenyewe. Pia wengi wanaounga 100% hoja na wanaendelea kuchangia wanaishia kujichanganya na kutoeleweka kabisa maana anaishia kukosoa hiyo bajeti tena na anakosa msimamo wake ni upi. Hivi hawa watu wanajua kama sisi watanzania tunawaona na kwamba tunakuja wahukumu jinsi walivyo? Mfano mtu anaunga 100% bajeti halafu anasema hii bajeti imekuja na vipaumbele vilevile why? sasa mtu kama huyu utamwitaje..... mpe jina wewe.....
Nawasilisha