johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,722
- 141,585
Binafsi sijaona kabisa faida ya fedha za mfuko wa jimbo katika jimbo langu la uchaguzi la Kawe.
Inawezekana zinafanya kazi lakini kwa kuwa mbunge wetu haitishi mikutano ni vigumu kuelewa.
Napendekeza kuwa hawa wabunge kama watagombea tena 2020 basi watujuze kwanza fedha yetu ya mfuko wa jimbo ilivyotumika kwa miaka yote mitano. Hili pendekezo ni kwa wabunge wote ukiondoa wale wa viti maalumu.
Maendeleo hayana vyama!
Inawezekana zinafanya kazi lakini kwa kuwa mbunge wetu haitishi mikutano ni vigumu kuelewa.
Napendekeza kuwa hawa wabunge kama watagombea tena 2020 basi watujuze kwanza fedha yetu ya mfuko wa jimbo ilivyotumika kwa miaka yote mitano. Hili pendekezo ni kwa wabunge wote ukiondoa wale wa viti maalumu.
Maendeleo hayana vyama!