Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
- Thread starter
- #41
muhutu amelamba 1.5 trilion pekeyakeMuulize mbowe pekeyake karamba 7b
muhutu amelamba 1.5 trilion pekeyakeMuulize mbowe pekeyake karamba 7b
Mkakarabati ofisi ya ufipa basi !Sasa wanakusaidia nini mpaka kutoka ulipotoka kuja kuchangia? Si ungebaki tu kulinda upuuzi wako
Fikiri upya urudie kupost kitu kinachoelewekaw
wwe ndio unahoja leo wazungu wamekuwa wa kulambwa miguu kesho ukiulizwa zilipo 1.5 trilion uabana pua na kuwaita mabeberu? punguani?
Huoni wenyewe wanakubali kazi nzuri inayofanywa na serikali nyie mmebaki kulialia tu humu Jfje na kiki yakuiba trilioni 1.5 na kufanya maigizo naona meanza kwenda kwenye majimbo yawapinzani nakutaka wapande majukwani wawafute machozi
Ofisi ??? Kutoka nje ya ukumbi sikuelewi punguza upuuziMkakarabati ofisi ya ufipa basi !
haha mabwana wale mabepar waliohidi pesa leo mkawaita wafadhili baadala ya wahisani ndio maana huwa hawatoi pesa zote kwa upuuzi mnaowafanyia wapinzani? hii kwako sio impact? impact ni kuwa na akili kama kibajaji? mwili mkubwa kichwa kidogoSijawahi ona ANY IMPACT YA HAWA JAMAA KUTOKA NJE YA BUNGE....Zaidi ya maigizo
Mbona siku hizi hamtumii chopa kataka kampeini mkuu?mahakamani kesi yake ilikuwa number ngapi?
haha mabwana wale mabepar waliohidi pesa leo mkawaita wafadhili baadala ya wahisani ndio maana huwa hawatoi pesa zote kwa upuuzi mnaowafanyia wapinzani? hii kwako sio impact? impact ni kuwa na akili kama kibajaji? mwili mkubwa kichwa kidogoSijawahi ona ANY IMPACT YA HAWA JAMAA KUTOKA NJE YA BUNGE....Zaidi ya maigizo
Fisadi kuu mnalo huko, sijui atapeperusha tena bendela yenu 2020nikama ccm na wizi na ufisadi nikama nzi na kinyesi
kwanini sikuizi amchezi ile nyimbo ya ccm mbele kwa mbele?Mbona siku hizi hamtumii chopa kataka kampeini mkuu?
Ulipo fika kikatokea nn?ujumbe ulifika
mlishampeleka mahakamani hakuna ufisadi tanzania uliopata tokea kama wakipindi hii wa trilioni 1.5Fisadi kuu mnalo huko, sijui atapeperusha tena bendela yenu 2020
musiba anawaita wazungu mabepari, magufuli anawaita mabepari akihoji anasema wanagumiwa na mabeepari .leo anawaitawahisni kisa wameahidi kutoa pesa kwenye bajdgiFikiri upya urudie kupost kitu kinachoeleweka
uwaoni wasiojulikana wametokea ufutuhi kwenye kila ziara umezidi aka mhutuUlipo fika kikatokea nn?
Uwezo wako wa kuchanganua mambo mdogo sana !je na kiki yakuiba trilioni 1.5 na kufanya maigizo naona meanza kwenda kwenye majimbo yawapinzani nakutaka wapande majukwani wawafute machozi
ndio maana meona muwafunge watu mdomo hukoSiku hizi wauwaji wanashitakiwa bungeni. Itabidi tuwaambie majaji na maofisa wa makosa ya jinai wakapumzike maana kazi yao inafanywa na bunge.
wewe wako mkubwa ndio maana melamba 1.5 trilionUwezo wako wa kuchanganua mambo mdogo sana !
Ofisi ya Mwa Nyokwe!!?Nendeni mkakarabati ofisi tushawachoka