wabunge watoa millioni 28 kama rambirambi kwa janga la japani

Smarty

JF-Expert Member
Feb 25, 2011
776
426
wabunge wetu kutoa rambirambi hii kwa ubalozi wa japani ni sahihi? Mbona hatujawaona wakitoa hata shilingi kwa wenzetu wa gongo la mboto? Mbona hatuwaoni wakiwasaidia wenzetu wanaokufa na njaa kwenye maeneo ya vijijini? Au kwa sababu hamna kamera kule? Ama kweli mwenye nacho huongezewa.
 
wabunge wetu kutoa rambirambi hii kwa ubalozi wa japani ni sahihi? Mbona hatujawaona wakitoa hata shilingi kwa wenzetu wa gongo la mboto? Mbona hatuwaoni wakiwasaidia wenzetu wanaokufa na njaa kwenye maeneo ya vijijini? Au kwa sababu hamna kamera kule? Ama kweli mwenye nacho huongezewa.

wakati mwingine kukaa kimya ni bora zaidi, ulijaribu kufuatilia ukweli wa madai yako?
 
Sitashangaa hata kesho bendera kupepea nusu mlingoti kuonesha simanzi kwa ndege ya Marekani iliyoanguka Libya!
 
wabunge wetu kutoa rambirambi hii kwa ubalozi wa japani ni sahihi? Mbona hatujawaona wakitoa hata shilingi kwa wenzetu wa gongo la mboto? Mbona hatuwaoni wakiwasaidia wenzetu wanaokufa na njaa kwenye maeneo ya vijijini? Au kwa sababu hamna kamera kule? Ama kweli mwenye nacho huongezewa.

kuchangia waathirika maafa yoyote ama kokote kule sio vibaya jamani. Binadamu ni binadamu tu.
 
wakati mwingine kukaa kimya ni bora zaidi, ulijaribu kufuatilia ukweli wa madai yako?

we uliyefuatlia tujuze! Mkuu huruma wa mshumaa huu usitetee sana. Au nawe ni miongoni mwa wale waliokunywa uji wa mgonjwa?
 
bora hata sabodo angetoa million zake mia kuliko wabunge kutuabisha,kwahiyo inamaana kila mbunge alitoa 90000 elfu tuu??
 
Oprah alipojenga shule S. Africa wanugu woote walichukia sana eti ooh kwa nini asijenge na kusaidia watu wa hood kule South Side/Chicago.
Sio vibaya wabunge wetu walichokifanya, ingawa ingekuwa vema kama wangeanza na huo ukarimu nyumbani
 
Baada ya kusikia chadema watatoa pole ya dola 2000 wameona wawahi. Km kawaida mzee wa roho nyeupe km theluji alikuwa anauza nywele zake nyeupe. Kamati yake ndo imeongoza mchango huo.e.l in action.
 
we uliyefuatlia tujuze! Mkuu huruma wa mshumaa huu usitetee sana. Au nawe ni miongoni mwa wale waliokunywa uji wa mgonjwa?

Mbona ilikuwa all over the place na hapa jukwaani ilijadiliwa mzee?
Haya soma bana.

headline_bullet.jpg
MPs, House staff contribute 37.08m/- for bomb victims




Less than a quarter of Gongo la Mboto Jeshini primary school pupils are attending classes with the majority staying away, citing lingering fear of last week’s blasts.
The school situated inside the military barracks which has 1,700 pupils, has seen less than 200 pupils return to class since Friday last week.
A teacher who spoke on behalf of the school headmaster, and would only give one name of Rwebangira said most pupils are still suffering from shock from what they experienced last week and that the morale is very low among those who are attending classes. Others reportedly fled the area with their parents.
During yesterday’s visit to the school, 14 of the 22 classrooms were half empty while eight classrooms were without a single pupil.
The bombs destroyed pupil’s toilets at the school and also cause big cracks on some classrooms.
“Everything here is not good. Many pupils are not attending classes and even those who are, the morale is very low,” he said.
Rwebangira said even the teachers have been affected as one of their colleagues had lost all his properties when a bomb hit his house, burning it down.
Many pupils at the school live at the barracks while others stay in the neighbourhoods.
Only a few students were in class at Juhudi secondary school also located in the barracks.
The school Headmaster, Mwambaja Andulile cited lingering fear of recurrence of the blasts.
“Four of our students and three teachers were seriously wounded by the blasts,” he disclosed.
He said the school needed immediate help as all Form Four students were studying under trees after their classrooms were demolished by the blasts.
Andulile said all chairs in one of the classrooms were destroyed by the bombs, rendering them unusable, while use of the administration, computer and laboratory rooms had been suspended due to big cracks on the walls.
“We need immediate help. Things are not moving well here as you can see all Form Four students are studying outside, due to lack of classrooms,” he said.
Deputy Head teacher of Pugu Kajiungeni Primary School, Chrisophora Ligazio said only half of the 2,045 pupils are back in classrooms.
She said her school has information that only one pupil was lost and that his parents were searching for him.
Ligazio also said four teachers who were on internship at the school have not yet reported for work, adding that her office is still tracing them.
“We have been trying to phone them but they are unreachable. We don’t know where these teachers are. If we do not get them by tomorrow (Today) we will report the matter to relevant authorities,” Ligazio said.
The Gongo la Mboto bomb blasts saw more than 26 people dead and more than 300 injured with a number of properties destroyed.
Meanwhile, Members of Parliament and staff of the National Assembly have contributed 37.8m/- in support of the Gongo la Mboto victims.
Speaker of the National Assembly, Anne Makinda handed over a cheque worth the amount yesterday to the acting Dar es Salaam Regional Commissioner, Said Meck Sadick when she visited the Tanzania People’s Defence Forces (TPDF) Gongo la Mboto barracks yesterday and later visited the injured at Ilala and Amana hospitals.
Makinda said the MPs received with shock and sadness the reports of the bomb blasts and decided to contribute to the victims.
She said the MPs contributed their one day allowance which they are paid in parliamentary meetings.
Receiving the cheque, the acting RC Said Meck Sadick expressed gratitude and pledged that the money will be spent for the purchase of food and other necessary items for the victims.
For his part, the Minister of State, Prime Minister’s Officer, (Policy, Coordination and Parliamentary Affairs), William Lukuvi said the government will ensure that accurate assessment is done to avoid repeat of the Mbagala saga.



SOURCE: THE GUARDIAN
 
We cannot condone this type of slash and burn politics and are we going to reward them for this behaviour? By this account they are simply another part of a vast, debt-dependent ecosystem that is now being starved of oxygen. This country is afflicted with the curable disease called Stupidity! Kwani Kilosa walitoa nini hawa wajinga wetu au kuuza sura ndio sera zao? Power is the ultimate aphrodisiac.
Ugh, I h@te ******!
 
We cannot condone this type of slash and burn politics and are we going to reward them for this behaviour? By this account they are simply another part of a vast, debt-dependent ecosystem that is now being starved of oxygen. This country is afflicted with the curable disease called Stupidity! Kwani Kilosa walitoa nini hawa wajinga wetu au kuuza sura ndio sera zao? Power is the ultimate aphrodisiac.
Ugh, I h@te ******!
 
Mshirika mkubwa sana wa maendeleo (in whatever sense that is), you don't just play it low when that kind of guy gets it. You act boldly!

They have got to know you're there for them too, however poor!
 
Hacha kukurupuka....hili jukwaa halikufai ulitaka wasitoe?wakati japan wamekua mstari wa mbele sana katika kulisaidia taifa ili....kuwa makini hacha ushabiki wa kisiasa...ulifatilia tatizo la mbagala ukajua japan walitoa mchango gani leo husinge ongea izo pumba kwn mtandao wa watu makini kama huu.
 
Back
Top Bottom