Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,005
- 9,872
Bunge la 12, mkutano wa 9 kikao cha kwanza. Wabunge kadhaa wakichangia muswada wa elimu wametaka bodi ya mikopo ya elimu ya juu ivunjwe kutokana na utendaji usioridhisha.
Baadhi ya mambo waliyoyataja ni pamoja na Bodi ya Mikopo kuchelewesha mikopo au kutoa mikopo kwa ubaguzi.
Wabunge hao wameonesha umuhimu wa elimu na hali za watanzania ambao ni vigumu sana kujilipia ada. Mbunge mmoja ametoa wito kwa Serikali kuwasomesha bure wanafunzi wanaopata divisheni one ili kuwapa motisha
Baadhi ya mambo waliyoyataja ni pamoja na Bodi ya Mikopo kuchelewesha mikopo au kutoa mikopo kwa ubaguzi.
Wabunge hao wameonesha umuhimu wa elimu na hali za watanzania ambao ni vigumu sana kujilipia ada. Mbunge mmoja ametoa wito kwa Serikali kuwasomesha bure wanafunzi wanaopata divisheni one ili kuwapa motisha