Wabunge wasiwe wajumbe bodi za mashirika ya Umma

Mwenye dhamana ya kulisimamia hilo ni waziri mkuu ambae ni head prefect wa mawaziri ambao ndio wako mstari wa mbele kudharau si tu maagizo ya bunge na CAG bali hata maagizo ya appointing authority wao ambae ndio Rais!!
 
Mwenye dhamana ya kulisimamia hilo ni waziri mkuu ambae ni head prefect wa mawaziri ambao ndio wako mstari wa mbele kudharau si tu maagizo ya bunge na CAG bali hata maagizo ya appointing authority wao ambae ndio Rais!!
MIMI SIDHANI kama kweli Waziri Mkuu anajua na kuelewa maana ya head prefect, yupo yupo tu kisanii.
 
Wengi wa Wabunge hawataweza kushibisha Matumbo yao kama Wanaondolewa kwenye Bodi za Mashirika
 
Kuna kitu sielewi hapa. Raisi anateua wajumbe wa bodi. Halafu raisi huyo huyo anatoa waraka wa kusema kwamba wabunge wasiwe wajumbe wa bodi. Sielewi kinachotaka kusemwa hapa. Sielewi kabisa au ndo kama kawaida upande mmoja wa nchi hauna mawasiliana no upande wa pili. Kama ilivyo mikoa ya kusini ukilinganisha na mikoa ya kaskazini?
 
Kuna kitu sielewi hapa. Raisi anateua wajumbe wa bodi. Halafu raisi huyo huyo anatoa waraka wa kusema kwamba wabunge wasiwe wajumbe wa bodi. Sielewi kinachotaka kusemwa hapa. Sielewi kabisa au ndo kama kawaida upande mmoja wa nchi hauna mawasiliana no upande wa pili. Kama ilivyo mikoa ya kusini ukilinganisha na mikoa ya kaskazini?

Mashirika ya umma hayataweza kuwa na ufanisi kwani mfumo wao wa kitawala (corporate governance) haufuati falsafa ya mashirika. Angalia;

  • Mwenyekiti wa Bodi anateuliwa na rais
  • Wajumbe wa bodi wanateuliwa kisiasa - badala ya kuangalia uwezo
  • Mkurugenzi Mkuu anateuliwa na rais - badala ya bodi
  • Auditor anateuliwa na CAG - badala ya bodi
  • Mameneja unakuta nao wameletwa kwa vi memo - badala ya kuangalia uwezo

Nani atamuwajibisha nani?
 
Its very true naunga mkono hoja, hakutakuwa na uwajibishwaji, Niwape mfano mdogo tu, nimwahi kuwa mjumbe wa kabodi kadogo, bodi ya sekondari, nakumbuka wajumbe tulishindwa kumhoji mkuu wa shule kwa matumizi mabaya ya fedha za shule more than 70% ya fedha aliitumia kwa safari za yeye na walimu wake, tulikaa kimya kisa anatulipa posho, posho yenyewe we acha tu. Nikajiuliza sana, hivi tutafika kweli, nilishangaa na kushangaa. So nakubaliana kabisaaa, wabunge waw out of boards.
 
Back
Top Bottom