Wabunge wasiochangia chochote bungeni (esp Catherine Magige) wana maana gani??

Status
Not open for further replies.

Mcrivers

Member
Apr 16, 2012
45
1
Naomba niwape pole kwa majukumu ya kila siku Great Thinkers. Nakerwa sana na baadhi ya wabunge ambao tangia bunge lianze sijawahi kusikia wamechangia ama kuuliza swali hata siku moja. Maana ya wao kuwa pale inapotea kabisa.

Kama Catherine Magige mimi nilikuwa namchukulia kama role model ila jamani kila siku nakesha kusikia yule dada ataongea labda au kuuliza swali lakini hola. Tatizo linakuwa ni nini?

Ni kutojiamini au ni kutokujua kilichokuweka pale au ndio zile nafasi za ubunge ambazo zina strings attached?? Wabunge vijana wengi tu wanawakilisha vijana vizuri ila kama huyu ndioo kilazaaa and it saddens me..
 
Issue sio kuwa hawataki kuchangia,ila hawajui wachangie nini....si unajua Bungeni usimame uongee halafu watu wakuelewa inataka kichwa.
 
Issue sio kuwa hawataki kuchangia,ila hawajui wachangie nini....si unajua Bungeni usimame uongee halafu watu wakuelewa inataka kichwa.


Kama hajui cha kuchangia then hakutakiwa awe pale.. Hawa hawatakiwi waendekezwe kabisa.. Wanakula tu posho za bure halafu hatuoni matunda ya wao kuwa pale..
 
Wameingia humo bungeni kwa kazi mahsusi na kazi yao ikiisha baada ya miaka mitano wataondoka, usipate shida sana kuwafuatilia hawana issue inayokugusa wewe, wapo pale kwa issue za kikubwa zaidi. Na wewe naye huelewi tu hadi utafuniwe kila kitu aaaaggggrrrrrhhhhhhhhh:kev:
 
Wameingia humo bungeni kwa kazi mahsusi na kazi yao ikiisha baada ya miaka mitano wataondoka, usipate shida sana kuwafuatilia hawana issue inayokugusa wewe, wapo pale kwa issue za kikubwa zaidi. Na wewe naye huelewi tu hadi utafuniwe kila kitu aaaaggggrrrrrhhhhhhhhh:kev:

Sasa hivi umenitafunia nimeelewa ila inasikitisha sana sana sana
 
Fanya homework kidogo utapata jibu, huyo akiwa mkubwa atakuwa kaa Sophia Lion[/QUOTE

Akitaka kuua ndega wawili kwa jiwe moja afuate nyayo za Anna Kilango aliyepata ubunge na mume pia; hapo mahala pazuri pa kuwindia kwani wanaume wakuwanasa wako wengi!!
 
Sasa hivi umenitafunia nimeelewa ila inasikitisha sana sana sana
Acha fitna! Huyu dada atajana nimelisikia jina lake lakwanza kwawaliochangia kwamaandishi bungeni. Yaelekea unachuki nahuyu sister wewe. Pia maranyingi anaonekana kwenye TV akifanya shughuli mbali Bali zakijamii. Kwawazee wasiojiweza, kwakinamama, navijana nahata hospital nakumbuka niliwahi kumuona akitoa Masada hospital ya Mt Meru Arusha, pia akitoa vitabu shulemoja Yasecondary Arusha tuache kuleta chuki binafsi kwenye mitandao ili tu kimpaka mtu matope. Kwakweli umemuonea anajitahidi sana kufanya kazi sana mnyonge mnyongeni hakiyake mpeni. Au unataka awe anakurupuka tu kuongea ili uridhike? Fanya uchunguzi kabla yakumuhukumu mtu! Usidhani Wanamaker jf siwafuatiliaji wamambo. No research no right to speak!
 
Peter Muzo...

Pengine na kujiamini,au ujasiri wa kuwaface watu wengi na kuongea ndiyo tatizo..

Au taaluma kwa wengine inachangia..

Wengine,ni kutokuwa na uelewa wa kutosha wa kanuni.. Mfano,kama mambo usiyoyajua ama kuyaelewa ni vigumu kuchangia,basi unawahisha ofisi za bunge linakuwa swali,au waweza kuwasilisha maombi ya hoja binafsi,n.k.
 
Ukiachana na hayo mi huwa najiuliza wale wamama watu wazima wengi wamekaa tu mule kwanza wengine huwezi jua hata km ni wabunge mpk uwaone pale bungeni ni wa special seats but huwaoni hata ktk shughuli za kujitolea za kijamii,na mjengoni ni mabubu. Watanzania ifike mahali haya mambo ya kupeana ubunge coz ilikuwa hv mara vile tuyaache,mi naona km ingefutwa kbs viti maalum coz hizo hela wanazopewa zingenunulia madawati kwa wanafunzi wanaokaa chini madarasani na huduma za afya kwa TZ nzima.
 
Huyo Magige ni chakula cha wenye nazo bungeni mwanzoni alikuwa Da Gama sasa amempasia Kaga anakandamizia!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom