Wabunge wapewe mazoezi ya kupunguza vitambi

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,720
21,779
Baadhi ya wabunge jamani wanaitaji kupewa mazoezi muhimu ya kupunguza vitambi
swala hili si tu litawasaidia kwenye afya zao bali hata kwenye kulinda ndoa zao
katika swala la TLN...kila mtu anajua umhimu wa TLN na hasa pale unapomnyima mwenzio
haki yake ruksa kulalama kwa wazee wa kanisa..je wangapi wabunge mko radhi kupoteza ndoa zennu..kufa ovyo na kugharimu bunge na maziko ya kujitakia

embu ukiwa kama mmbunge unaejali afya yako jaribuni kwenda kupima mara kwa mara afya zenu na kupunguza vitambi mpate haja za mioyo yenu...

all the best kwenye uchaguzi
 
Kwahiyo wawadhulumu wananchi,wakipata vitambi wananchi wawalipie na mazoezi ya vitambi?Acha utani mkuu,
 
wenzio hawapendi tabu, ndo maana matumbo yana jaa kama yana upepo...mikuku, mishikaki,mayai,mapombe, mabia, mawhisk,maugali,matambi,mawali,machachandu,makuku,mang'ombe,madawa ya kienyeji,mahirizi ya kumeza kila kitu ukichanganya kwenye tumbo moja, lazima utakuwa tembo tu......wanapata shida kwelikweli...hahaha. laiti wangeenda hata kutembelea vijijini wakachoka kidogo hata kukaa kwenye magari yao tu pengine wangekuwa wanafanya zoezi, sasa kazi yao ni kula,kunywa,kusinzia na kulala tu. sitaki kuwataja majina hapa...
 
Tanzania/Waafrika wengi;moja ya dalili za mafanikio ni mtu kuwa na kitambi,overweight or even obese.Utasikia 'mambo yake safi siku hizi,juzi nimekutana nae,kanenepa huyo'...Ukiwa mwembamba hivi,na wasipojua deals zako,watakwambia umefulia.
Kwahiyo wapo wengi wanaodhani kunenepeana ndiyo afya bora,huku wakitafuta sifa ya kuitwa vibosile kwa sababu ya vitambi vyao.Sasa siku mtu anapigwa na heart attack/stroke,anazimika ghafla,watasema kuna mkono wa mtu,ametupiwa 'jini',mbona hakuugua,alikuwa na afya nzuri kweli...!
 
Hiyo ndiyo tabia iliyojengeka Bongo, nyamachoma kwa kwenda mbele, michemsho, bia, halafu hakuna mazoezi. Hata hivyo wengi wanautafuta unene bila kujua kuwa ni hatari kwao..
 
Kwa hili litakuwa gumu manake wengi wanapenda sana matumbo, fuatilia wengi wao wakiwa wanaongea au kuhutubia wanapenda sana kuyakuna!
 
Back
Top Bottom