Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,779
Baadhi ya wabunge jamani wanaitaji kupewa mazoezi muhimu ya kupunguza vitambi
swala hili si tu litawasaidia kwenye afya zao bali hata kwenye kulinda ndoa zao
katika swala la TLN...kila mtu anajua umhimu wa TLN na hasa pale unapomnyima mwenzio
haki yake ruksa kulalama kwa wazee wa kanisa..je wangapi wabunge mko radhi kupoteza ndoa zennu..kufa ovyo na kugharimu bunge na maziko ya kujitakia
embu ukiwa kama mmbunge unaejali afya yako jaribuni kwenda kupima mara kwa mara afya zenu na kupunguza vitambi mpate haja za mioyo yenu...
all the best kwenye uchaguzi
swala hili si tu litawasaidia kwenye afya zao bali hata kwenye kulinda ndoa zao
katika swala la TLN...kila mtu anajua umhimu wa TLN na hasa pale unapomnyima mwenzio
haki yake ruksa kulalama kwa wazee wa kanisa..je wangapi wabunge mko radhi kupoteza ndoa zennu..kufa ovyo na kugharimu bunge na maziko ya kujitakia
embu ukiwa kama mmbunge unaejali afya yako jaribuni kwenda kupima mara kwa mara afya zenu na kupunguza vitambi mpate haja za mioyo yenu...
all the best kwenye uchaguzi