Kiona
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 933
- 240
Rais wetu hajui kusoma nyakati.
Akifa msanii mwingine leo utamuona JK within hours
Rais wetu hajui kusoma nyakati.
anawania africa funeral awards ndio maana hakosi misiba!
Hivi Kikwete ni mwenyekiti wa kamati ya mazishi afrika? Kutokana na uzito wa matatizo ya nchi yake alitakiwa amtume mwakilishi, mbona nchi zingine zimetuma balozi zao? Kwanini iwe ngumu kwa jk?
Mkuu huyu si wa kwetu sote kwa muda huu?
Hivi Kikwete ni mwenyekiti wa kamati ya mazishi afrika? Kutokana na uzito wa matatizo ya nchi yake alitakiwa amtume mwakilishi, mbona nchi zingine zimetuma balozi zao? Kwanini iwe ngumu kwa jk?
Hivi Kikwete ni mwenyekiti wa kamati ya mazishi afrika? Kutokana na uzito wa matatizo ya nchi yake alitakiwa amtume mwakilishi, mbona nchi zingine zimetuma balozi zao? Kwanini iwe ngumu kwa jk?
Kwa wale wabunge wa ssm waliosaign basi ni mashujaa wetu wa mwezi jamani manaona je
Kwa wale wabunge wa ssm waliosaign basi ni mashujaa wetu wa mwezi jamani manaona je