Wabunge DHAIFU hawana habari kuwa Madaktari wamegoma kwa kuitaka serikali iboreshe malipo yao na vitendea kazi, na Serikali imesema haina hela za kuwalipa Madaktari ila inazo za kuwalipa Madiwani na wabunge 2 Wanasiasa Tanzania ni Bora kuliko fani nyingine yoyote, Acha tufe hatuna serikali inayojali wananchi wake