Wazolee
JF-Expert Member
- Sep 1, 2018
- 2,699
- 3,088
Binafsi huwa naona kama vile wanapoteza muda wanapoanza kujadili mradi wa umeme unaotokana na maji wakati tayari ujenzi umeshafikia 40% na bado kazi inaendelea usiku na mchana na raisi mpya ameahidi kuhakikisha unakamilika.
Ukweli ni kwamba wanapoteza muda wao kama bunge pia wanatupotezea mda sisi wananchi tunao wasikiliza kwa sababu hu mradi hauwezi kusitishwa ni lazima ukamilike.
Lakini pia kwa elimu yangu ndogo niliyonayo kuhusu umeme nashindwa kuwaelewa wale wanaosema umeme wa maji ni gharama kuliko wa mafuta.
Ninachojua mimi umeme unazalishwa na generator na ili generator lizalishe umeme lazima lizunguushwe.
Hivyo inaweza ikawekwa mashine inayotumia mafuta au gasi ili kulizungusha hili generator liweze kuzalisha umeme.
Au hili generator linaweza likawa linazungushwa moja kwa moja kwa kutumia nguvu ya maji yanayo tiririka yani mto.
Sasa Mimi hainingii akilini kuwa umeme unaozalishwa kwa kutumia mitambo inayotumia gasi ambayo inauzwa kwa Lita ikawa sawa na umeme unaozalishwa kwa kutumia nguvu ya maji ambayo hainunuliwi ni natural power ambayo Mungu ametuwekea.
Wabunge fanyeni kazi acheni siasa.
Ukweli ni kwamba wanapoteza muda wao kama bunge pia wanatupotezea mda sisi wananchi tunao wasikiliza kwa sababu hu mradi hauwezi kusitishwa ni lazima ukamilike.
Lakini pia kwa elimu yangu ndogo niliyonayo kuhusu umeme nashindwa kuwaelewa wale wanaosema umeme wa maji ni gharama kuliko wa mafuta.
Ninachojua mimi umeme unazalishwa na generator na ili generator lizalishe umeme lazima lizunguushwe.
Hivyo inaweza ikawekwa mashine inayotumia mafuta au gasi ili kulizungusha hili generator liweze kuzalisha umeme.
Au hili generator linaweza likawa linazungushwa moja kwa moja kwa kutumia nguvu ya maji yanayo tiririka yani mto.
Sasa Mimi hainingii akilini kuwa umeme unaozalishwa kwa kutumia mitambo inayotumia gasi ambayo inauzwa kwa Lita ikawa sawa na umeme unaozalishwa kwa kutumia nguvu ya maji ambayo hainunuliwi ni natural power ambayo Mungu ametuwekea.
Wabunge fanyeni kazi acheni siasa.