zumbemkuu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 10,829
- 8,619
Jamani wanaja JF nawaomba/kuwasisihi tuwe wawazi, bila kuwa na itikadi, upendeleo wala ushabiki na ushushushu. Wabunge wa chama gani wanafanya maelfu ya watu kupenda kusikiliza/hata kuangalia bunge letu?. CHADEMA, CCM, CUF, NCCR, UDP, CCJ au chama gani.? Mimi bila kupendelea kama wasingekuwepo wabunge wa CDM wala nisinge sumbuka kuangalia wala kusikiliza bunge.
Nawasilisha.
hapo kwa red unamaanisha mzee 6 na mwakyembe au?