Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 49,258
- 19,584
Wananchi Wa Jimbo La Bichosa Wamemtka Mbunge Wao Kukaa Kimya Na Kuacha Kuongea Utumbo Wake Kwa Kumtetea Aliekuwa Waziri Wa Miundo Mbinu Mh Chenge Kwa Vile Hayo Si Maoni Yao!!!
Wakizungumza Na Waandishi Wa Habari Baadhi Ya Wananchi Wamesema Kitendo Cha Kumtetea Chenge Ni Utumbo Mtupu Na Anaonyesha Anaaongea Yale Asiotumwa Na Wananchi
Na Huku Akisema Kwa Maslah Yake Binafsi....hawa Jamaa Bwana Wakija Wanalia Wakifika Kule Wanaangalia Matumbo Yao...angalia Juzi Wanavyozidi Kuongezeka Matumbo Yao,,inaonyesha Hata Wanawake Wangeweza Kunenepa Vile Ingekuwa Hatari.....
Hata Mi Najiuliza Huyu Mama Yetu Anna Makinda Si Jui Anaumwa Nini Mbona Anenepi Kabisa....lazima Wabunge Wanawake Mlalamikie Usawa Bungeni Hadi Kwenye Afya
Kazi Kubwa
Wakizungumza Na Waandishi Wa Habari Baadhi Ya Wananchi Wamesema Kitendo Cha Kumtetea Chenge Ni Utumbo Mtupu Na Anaonyesha Anaaongea Yale Asiotumwa Na Wananchi
Na Huku Akisema Kwa Maslah Yake Binafsi....hawa Jamaa Bwana Wakija Wanalia Wakifika Kule Wanaangalia Matumbo Yao...angalia Juzi Wanavyozidi Kuongezeka Matumbo Yao,,inaonyesha Hata Wanawake Wangeweza Kunenepa Vile Ingekuwa Hatari.....
Hata Mi Najiuliza Huyu Mama Yetu Anna Makinda Si Jui Anaumwa Nini Mbona Anenepi Kabisa....lazima Wabunge Wanawake Mlalamikie Usawa Bungeni Hadi Kwenye Afya
Kazi Kubwa