Wabunge wameacha kujadili mambo ya msingi wanajadili ‘legacy’, itatusaidia nini?

legacy inatengenewa na waliobaki dogo haijileti yenyewe we jamaa vp
Wewe acha ujinga . Ulishiriki kutengeneza ya nyerere wewe? Au ulishawahi sikia bunge huko SA linajadili legacy ya Nelson Mandela? Mbona zinatambulika kote duniani????
 
Wewe acha ujinga . Ulishiriki kutengeneza ya nyerere wewe? Au ulishawahi sikia bunge huko SA linajadili legacy ya Nelson Mandela? Mbona zinatambulika kote duniani????

arifu nampagua tu huyo dogo hakuna mtu asiejua hilo
 
Watu badala ya kupambana na maisha ili wapate ridhiki kutwa kuchwa wanapambania legacy ya marehemu itakusaidia kitu gani, Magufuli ameshakufa hawezi kurudi wala hawezi kusikia mnayosema, aliyotenda mabaya au mazuri hayawezi kuongezwa wala kupunguzwa na walio hai, matendo yake au legacy yake itajitetea yenyewe.

Wabunge nao wameingia kwenye upuuzi huo badala ya kujadili bajeti wanajadili mtu aliyekufa mbona hatujawahi kusikia mnajadili legacy ya Mkapa au yeye hakuwa rais, taifa lina matatizo mengi yanayohitaji ufumbuzi jadilini hayo hatujawatuma kwenda bungeni kujadili legacy ya mtu.

Mnapoteza muda bure.

20210416_034835.jpg
 
Itatusaidia kutupa mwongozo wa kufuata,kuenzi na kuzingatia yale aliyoyaasisi Magufuli ili kukamilisha na kusukuma mbele zaidi gurudumu la maendeleo kama alivyofanya Hayati Magufuli.
 
Watu badala ya kupambana na maisha ili wapate ridhiki kutwa kuchwa wanapambania legacy ya marehemu itakusaidia kitu gani, Magufuli ameshakufa hawezi kurudi wala hawezi kusikia mnayosema, aliyotenda mabaya au mazuri hayawezi kuongezwa wala kupunguzwa na walio hai, matendo yake au legacy yake itajitetea yenyewe.

Wabunge nao wameingia kwenye upuuzi huo badala ya kujadili bajeti wanajadili mtu aliyekufa mbona hatujawahi kusikia mnajadili legacy ya Mkapa au yeye hakuwa rais, taifa lina matatizo mengi yanayohitaji ufumbuzi jadilini hayo hatujawatuma kwenda bungeni kujadili legacy ya mtu.

Mnapoteza muda bure.
Kwa Bunge ambalo Spika wake anawaona darasa la saba ni bora kuliko PhD holders na anawapa hao vilaza airtime ya kuwatukana maprofesa unategemea kitoke kitu cha maana hapo?
20210416_081237.jpg
 
Watu badala ya kupambana na maisha ili wapate ridhiki kutwa kuchwa wanapambania legacy ya marehemu itakusaidia kitu gani, Magufuli ameshakufa hawezi kurudi wala hawezi kusikia mnayosema, aliyotenda mabaya au mazuri hayawezi kuongezwa wala kupunguzwa na walio hai, matendo yake au legacy yake itajitetea yenyewe.

Wabunge nao wameingia kwenye upuuzi huo badala ya kujadili bajeti wanajadili mtu aliyekufa mbona hatujawahi kusikia mnajadili legacy ya Mkapa au yeye hakuwa rais, taifa lina matatizo mengi yanayohitaji ufumbuzi jadilini hayo hatujawatuma kwenda bungeni kujadili legacy ya mtu.

Mnapoteza muda bure.
Wanafanya hayo yote kwa kuwa wamejituma wenyewe!! Fikiria Mbunge huna chama na unanyoosha mkono kuchukua Hela, Unamuwakilisha nani!?
 
Watu badala ya kupambana na maisha ili wapate ridhiki kutwa kuchwa wanapambania legacy ya marehemu itakusaidia kitu gani, Magufuli ameshakufa hawezi kurudi wala hawezi kusikia mnayosema, aliyotenda mabaya au mazuri hayawezi kuongezwa wala kupunguzwa na walio hai, matendo yake au legacy yake itajitetea yenyewe.

Wabunge nao wameingia kwenye upuuzi huo badala ya kujadili bajeti wanajadili mtu aliyekufa mbona hatujawahi kusikia mnajadili legacy ya Mkapa au yeye hakuwa rais, taifa lina matatizo mengi yanayohitaji ufumbuzi jadilini hayo hatujawatuma kwenda bungeni kujadili legacy ya mtu.

Mnapoteza muda bure.
Boss Hawa watu hawakutumwa na mtu yeyote bungeni, kura walipigiwa na Time ya Uchaguzi kwa maelekezo ya mwendazake. Wanajua fika hawakuchaguliwa na wananchi that's why wamekomaa na marehemu utafikiri nchi sasa inaongozwa toka kuzimu. Tunataka kuona support Bunge kwa Rais wetu Samia Hassani, siyo kuchoshana namna hii.
 
Back
Top Bottom