- Thread starter
- #41
Bado wako kwenye usingizi wakumbusheni hii ni awamu ya sita.Walipewa ubunge na Magufuli, bado wanadhani wanawajibika kwa Magufuli.
Bado wako kwenye usingizi wakumbusheni hii ni awamu ya sita.Walipewa ubunge na Magufuli, bado wanadhani wanawajibika kwa Magufuli.
Wewe acha ujinga . Ulishiriki kutengeneza ya nyerere wewe? Au ulishawahi sikia bunge huko SA linajadili legacy ya Nelson Mandela? Mbona zinatambulika kote duniani????legacy inatengenewa na waliobaki dogo haijileti yenyewe we jamaa vp
Wewe acha ujinga . Ulishiriki kutengeneza ya nyerere wewe? Au ulishawahi sikia bunge huko SA linajadili legacy ya Nelson Mandela? Mbona zinatambulika kote duniani????
Watu badala ya kupambana na maisha ili wapate ridhiki kutwa kuchwa wanapambania legacy ya marehemu itakusaidia kitu gani, Magufuli ameshakufa hawezi kurudi wala hawezi kusikia mnayosema, aliyotenda mabaya au mazuri hayawezi kuongezwa wala kupunguzwa na walio hai, matendo yake au legacy yake itajitetea yenyewe.
Wabunge nao wameingia kwenye upuuzi huo badala ya kujadili bajeti wanajadili mtu aliyekufa mbona hatujawahi kusikia mnajadili legacy ya Mkapa au yeye hakuwa rais, taifa lina matatizo mengi yanayohitaji ufumbuzi jadilini hayo hatujawatuma kwenda bungeni kujadili legacy ya mtu.
Mnapoteza muda bure.
Kwa Bunge ambalo Spika wake anawaona darasa la saba ni bora kuliko PhD holders na anawapa hao vilaza airtime ya kuwatukana maprofesa unategemea kitoke kitu cha maana hapo?Watu badala ya kupambana na maisha ili wapate ridhiki kutwa kuchwa wanapambania legacy ya marehemu itakusaidia kitu gani, Magufuli ameshakufa hawezi kurudi wala hawezi kusikia mnayosema, aliyotenda mabaya au mazuri hayawezi kuongezwa wala kupunguzwa na walio hai, matendo yake au legacy yake itajitetea yenyewe.
Wabunge nao wameingia kwenye upuuzi huo badala ya kujadili bajeti wanajadili mtu aliyekufa mbona hatujawahi kusikia mnajadili legacy ya Mkapa au yeye hakuwa rais, taifa lina matatizo mengi yanayohitaji ufumbuzi jadilini hayo hatujawatuma kwenda bungeni kujadili legacy ya mtu.
Mnapoteza muda bure.
.legacy inatengenewa na waliobaki dogo haijileti yenyewe we jamaa vp
Wanafanya hayo yote kwa kuwa wamejituma wenyewe!! Fikiria Mbunge huna chama na unanyoosha mkono kuchukua Hela, Unamuwakilisha nani!?Watu badala ya kupambana na maisha ili wapate ridhiki kutwa kuchwa wanapambania legacy ya marehemu itakusaidia kitu gani, Magufuli ameshakufa hawezi kurudi wala hawezi kusikia mnayosema, aliyotenda mabaya au mazuri hayawezi kuongezwa wala kupunguzwa na walio hai, matendo yake au legacy yake itajitetea yenyewe.
Wabunge nao wameingia kwenye upuuzi huo badala ya kujadili bajeti wanajadili mtu aliyekufa mbona hatujawahi kusikia mnajadili legacy ya Mkapa au yeye hakuwa rais, taifa lina matatizo mengi yanayohitaji ufumbuzi jadilini hayo hatujawatuma kwenda bungeni kujadili legacy ya mtu.
Mnapoteza muda bure.
Boss Hawa watu hawakutumwa na mtu yeyote bungeni, kura walipigiwa na Time ya Uchaguzi kwa maelekezo ya mwendazake. Wanajua fika hawakuchaguliwa na wananchi that's why wamekomaa na marehemu utafikiri nchi sasa inaongozwa toka kuzimu. Tunataka kuona support Bunge kwa Rais wetu Samia Hassani, siyo kuchoshana namna hii.Watu badala ya kupambana na maisha ili wapate ridhiki kutwa kuchwa wanapambania legacy ya marehemu itakusaidia kitu gani, Magufuli ameshakufa hawezi kurudi wala hawezi kusikia mnayosema, aliyotenda mabaya au mazuri hayawezi kuongezwa wala kupunguzwa na walio hai, matendo yake au legacy yake itajitetea yenyewe.
Wabunge nao wameingia kwenye upuuzi huo badala ya kujadili bajeti wanajadili mtu aliyekufa mbona hatujawahi kusikia mnajadili legacy ya Mkapa au yeye hakuwa rais, taifa lina matatizo mengi yanayohitaji ufumbuzi jadilini hayo hatujawatuma kwenda bungeni kujadili legacy ya mtu.
Mnapoteza muda bure.
Ndiyo maana yupo ccm. Na yule marehemu magufuli aliuza nyumba zetu za umma kwa mahawala Zake wakina Kajala wa kebys ile ya pale bamaga!lowasa ni fisadi
Leo siyo mabeberu tena waliomjadili??? Hahahaha akili ndogo ni mzigo kwelikweli?Hata UN wamejadili
ndo mnalazimishana sasa kuitengenezalegacy inatengenewa na waliobaki dogo haijileti yenyewe we jamaa vp
Wanampaka rangi marehemu, walikuwa wapi hawa mabeberu.Hata UN wamejadili
Congo ni mabeberu acha kuwa na concrete thinking.Leo siyo mabeberu tena waliomjadili??? Hahahaha akili ndogo ni mzigo kwelikweli?
Mngelifufua tu mkagawana mifupa
Nisibishane na mjinga hapa. Sawa.Congo ni mabeberu acha kuwa na concrete thinking.
Ndiyo maana yupo ccm. Na yule marehemu magufuli aliuza nyumba zetu za umma kwa mahawala Zake wakina Kajala wa kebys ile ya pale bamaga!