Watu badala ya kupambana na maisha ili wapate ridhiki kutwa kuchwa wanapambania legacy ya marehemu itakusaidia kitu gani, Magufuli ameshakufa hawezi kurudi wala hawezi kusikia mnayosema, aliyotenda mabaya au mazuri hayawezi kuongezwa wala kupunguzwa na walio hai, matendo yake au legacy yake itajitetea yenyewe.
Wabunge nao wameingia kwenye upuuzi huo badala ya kujadili bajeti wanajadili mtu aliyekufa mbona hatujawahi kusikia mnajadili legacy ya Mkapa au yeye hakuwa rais, taifa lina matatizo mengi yanayohitaji ufumbuzi jadilini hayo hatukuwatuma kwenda bungeni kujadili legacy ya marehemu.
Mnapoteza muda bure.
Wabunge nao wameingia kwenye upuuzi huo badala ya kujadili bajeti wanajadili mtu aliyekufa mbona hatujawahi kusikia mnajadili legacy ya Mkapa au yeye hakuwa rais, taifa lina matatizo mengi yanayohitaji ufumbuzi jadilini hayo hatukuwatuma kwenda bungeni kujadili legacy ya marehemu.
Mnapoteza muda bure.