Mtu wa Mungu
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 444
- 19
Source: Na M. M. Mwanakijiji, gazeti la MWANAHALISI, Jumatano, Septemba 17,2010:
Kwa muda sasa wanaJF wanakuwa wakichangia mawazo hoja ihusuyo wabunge waliopitishwa na kuhalalishwa na Tume ya Uchaguzi bila kuchaguliwa na waliojiandikisha na kushiriki katika uchaguzi mkuu wa tarehe 31.10.2010.
Kwa mujibu wa mijadala ya wanaJF juu ya mada hii ni kwamba wabunge husika si wabunge halali, miongoni mwa sababu zinazotolewa kuwa:-
1) Waliowachagua si wapigakura walio katika Daftari la Wapigakura; hawa walipatikana kutokana na chaguzi za kura za maoni ndani ya vyama husika.
2) Kwa mujibu wa hoja za kisheria alizotoa mwandishi wa makala iliyotajwa juu-(Source), ni kwamba wabunge husika ni batili kwa sababu hawakupatikana kwa njia halali katika katiba ya JYMT.
Kwa kuwahalalisha NEC imevunja katiba ya JYMT
Baada ya ukweli huu kujulikana, hoja ya msingi ni je Hatua gani zichukuliwe (a) Ili kuwapa wawakilishi halali wapigakura wa majimbo yaliyoathirika; (b) NEC kwa kosa linalostahili kuitw uhaini!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kwa muda sasa wanaJF wanakuwa wakichangia mawazo hoja ihusuyo wabunge waliopitishwa na kuhalalishwa na Tume ya Uchaguzi bila kuchaguliwa na waliojiandikisha na kushiriki katika uchaguzi mkuu wa tarehe 31.10.2010.
Kwa mujibu wa mijadala ya wanaJF juu ya mada hii ni kwamba wabunge husika si wabunge halali, miongoni mwa sababu zinazotolewa kuwa:-
1) Waliowachagua si wapigakura walio katika Daftari la Wapigakura; hawa walipatikana kutokana na chaguzi za kura za maoni ndani ya vyama husika.
2) Kwa mujibu wa hoja za kisheria alizotoa mwandishi wa makala iliyotajwa juu-(Source), ni kwamba wabunge husika ni batili kwa sababu hawakupatikana kwa njia halali katika katiba ya JYMT.
Kwa kuwahalalisha NEC imevunja katiba ya JYMT
Baada ya ukweli huu kujulikana, hoja ya msingi ni je Hatua gani zichukuliwe (a) Ili kuwapa wawakilishi halali wapigakura wa majimbo yaliyoathirika; (b) NEC kwa kosa linalostahili kuitw uhaini!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!