EasyFit
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 1,269
- 1,082
Inaelezwa kuwa Tume ya Bunge wakishilikiana na wabunge walimwekea Spika Makinda shinikizo kubwa wakitaka posho mpya na kama angeshindwa, walimtisha kumpigia kura ya kutokuwa na imani naye na hivyo, kumngoa madarakani.
Kutokana na azimio hilo kupitishwa, Spika alilazimika kutetea posho hizo kwenye vyombo vya habari na wajumbe wa Tume hiyo kwa kushirikiana na Spika, walimtaka pia Katibu Dk. Kashilila kuanza kuwalipa katika mkutano uliopita wa Bunge lakini alikataa.
Kutokana na azimio hilo kupitishwa, Spika alilazimika kutetea posho hizo kwenye vyombo vya habari na wajumbe wa Tume hiyo kwa kushirikiana na Spika, walimtaka pia Katibu Dk. Kashilila kuanza kuwalipa katika mkutano uliopita wa Bunge lakini alikataa.