The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,880
Leo wabunge wawili akiwemo Halima Mdee wameshambulia waziri wa fedha kwa ushuru wa magari usioleweka..... Mbunge mmoja alifikia kuwaita TRA majambazi..
Ccha kushangaza wabunge hao wamemtaka waziri wa fedha, Mkulo awasaidie warudishiwe pesa ambazo wanadai wametozwa isivyo halali za ushuru wa kuingiza magari na kodi za TRA........
sasa hapa ndo ninaposhangaaa
1. Wakati sheria hizo mbovu mbovu za ushuru na kodi za kuingiza magari zinapitishwa bungeni, wao walikuwa wapi? Hawakuelewa au walifikiri hayawahusu?
2. Huu utaratibu wa kudai pesa warudishiwe, je na sisi wananchi tutarudishiwa vipi? Lini?
Hivi hakuna mtu anayeona kuwa kodi na ushuru wa magari bandarini ni wizi mtupu?
Mtu ananunua gari dola 2,000 akifika TRA anaambiwa alipe ushuru dola 8,000.... na gharama nyingine; gari linafika mpaka dola 15,000 au zaidi....
Je, hasara ni ya nani hapo? Wanunuzi wa magari wanapopungua, nani anapata hasara? Nchi haipotezi pesa kwa kuwa na wateja kidogo wa biashara ya magari na yote yanayoendana na biashara hiyo? Na madhara yake kiuchumi?
Je, wajanja wanaotumia loopholes za sheria hizi hawafaidiki?
Je, tunafanana na nchi gani kwa sheria hizi? Kenya? South Africa? Uganda? Zanzibar??????
Lakini, kama wabunge nao wanalalamika na kulia,na sisi tufanyaje?
Ccha kushangaza wabunge hao wamemtaka waziri wa fedha, Mkulo awasaidie warudishiwe pesa ambazo wanadai wametozwa isivyo halali za ushuru wa kuingiza magari na kodi za TRA........
sasa hapa ndo ninaposhangaaa
1. Wakati sheria hizo mbovu mbovu za ushuru na kodi za kuingiza magari zinapitishwa bungeni, wao walikuwa wapi? Hawakuelewa au walifikiri hayawahusu?
2. Huu utaratibu wa kudai pesa warudishiwe, je na sisi wananchi tutarudishiwa vipi? Lini?
Hivi hakuna mtu anayeona kuwa kodi na ushuru wa magari bandarini ni wizi mtupu?
Mtu ananunua gari dola 2,000 akifika TRA anaambiwa alipe ushuru dola 8,000.... na gharama nyingine; gari linafika mpaka dola 15,000 au zaidi....
Je, hasara ni ya nani hapo? Wanunuzi wa magari wanapopungua, nani anapata hasara? Nchi haipotezi pesa kwa kuwa na wateja kidogo wa biashara ya magari na yote yanayoendana na biashara hiyo? Na madhara yake kiuchumi?
Je, wajanja wanaotumia loopholes za sheria hizi hawafaidiki?
Je, tunafanana na nchi gani kwa sheria hizi? Kenya? South Africa? Uganda? Zanzibar??????
Lakini, kama wabunge nao wanalalamika na kulia,na sisi tufanyaje?