MPIGA ZEZE
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 2,539
- 2,296
Si huyu jamaa juzi Jumamosi alikuwa anasakata dansi na Miss sijui Kinondoni sijui Miss Dodoma. Watawala zetu hawawezi kutumia hata sixth sense - wewe ndiye una dhamana ya kuhakikisha taifa lina umeme, taifa liko gizani unakwenda kusakata rumba badala ya kuwa na vikao vya dharura (hata kama ni kuji-pritend) kutafuta suluhisho. Pambaf sana!!! Hii JF inatusaidia kumalizia hasira zetu hapa, vinginevyo mtu unaweza kujikuta uko dodoma unafyatua risasi.