Wabunge wakicheza sebene Dodoma

Muislamu wa kweli hawezi kucheza sebene wakati zikiwa zimebaki siku mbili mwezi mtukufu uandame.
Bila shaka hao watakua Wa RC, Pentekoste, KKKKKKKT na Anglikannnnnna.
 
Muislamu wa kweli hawezi kucheza sebene wakati zikiwa zimebaki siku mbili mwezi mtukufu uandame.
Bila shaka hao watakua Wa RC, Pentekoste, KKKKKKKT na Anglikannnnnna.

Kwa hiyo ikiwa mbali na Ramadhani ndio anaruhusiwa? Naona unaupenda Ukristo sana kaka,
 
Nae ametuchosha huyo na huo upuuzi wake, kila kitu uislam hatuckii lingine....... mbona wengi tu tunapishana nao kwny mabaa wanapiga bia kama kawaida kipindi cha mwezi wanaouita mtukufu, na ndio kipindi ambacho pia wauza nyama ya kitimoto wanalalamika kwamba biashara huwa inadorola sana..... hapo walaji wakuu huwa ni kina nani kwa picha ya harakaharaka tu....... acha upuuzi ndugu dini zote zinamuomba na kumuabudu Mungu hakuna cha dini ya haki wala nini
 
Back
Top Bottom