Wabunge kadhaa, akiwemo Mbunge wa Lindi Mjini (CUF) Mh. Salim Barwany, wameihoji Serikali leo Bungeni ni kwanini haiwashughulikii mafisadi Tanzania wakati wengi wao wanajulikana?
Mh. Barwany alitoa changamoto kuwa anavyojua yeye Serikali inao uwezo wa kufanya hivyo ila anajiuliza ni nini kinachofanya iwe na kigugumizi? Alisema ni kwanini Serikali imegeuka kama vile "mbuzi anayepigiwa gitaa"?
Akawachekesha wabunge wenzake kwamba ukitaka kujua nguvu ya mlevi mwaga pombe yake--akimaanisha ukitaka kujua nguvu ya Serikali-tangaza maandamano ya nchi nzima!!
Mh. Barwany alitoa changamoto kuwa anavyojua yeye Serikali inao uwezo wa kufanya hivyo ila anajiuliza ni nini kinachofanya iwe na kigugumizi? Alisema ni kwanini Serikali imegeuka kama vile "mbuzi anayepigiwa gitaa"?
Akawachekesha wabunge wenzake kwamba ukitaka kujua nguvu ya mlevi mwaga pombe yake--akimaanisha ukitaka kujua nguvu ya Serikali-tangaza maandamano ya nchi nzima!!