Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,459
- 29,153
Labda tuweke mchanganuo rahisi hapa:
-Chakula @10,000x3 = 30,000/=
-Kulala per night = 40,000/=
-Kunywa per day = 20,000/=
-Miscellaneous = 30,000/=
JUMLA KWA SIKU MOJA =120,000/=
Haya, hapo nimechukulia maximum rates kabisa, ambapo kwa mtu anayejibana sana anaweza kuishi kwa nusu ya hiyo(60,000) tena kwa vizuri kabisa.
Hivi hawa wajumbe wana akili sawa kweli?....Dawa ni kuwaambia anayeona hailipi basi milango iko wazi!
JUMLA KWA SIKU MOJA =120,000/=
Uki-import Kidosho/Changu = 30,000/=
Vinywaji vya Changu kwa siku =30,000/=
Vinywaji kuzungusha raundi = 20,000/=
Nyama Choma (Mguu mmoja) = 10,000/=
Usiku Disco/Club = Tshs 10,000/=
GRAND TOTAL = Tshs 220,000/=