nashicha
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 279
- 517
Kutokana na kulifanya bunge kuwa stamp rubber ya serikali wakati wa Magufuli, naomba wabunge bila uoga waanzishe huo mchakato wa kumumpeach spika Ndugai maana ni amekuwa spika dhaifa tangu kupatikana kwa uhuru wa Tanzania.
Hapa ndipo napowakumbuka wabunge vidume kina Njelu Kasaka, Chrisant Mzindakaya, Sebastian Kinyondo, Mateo Quresi, Patrick Qorro sio hawa wanaosema kila kitu ndioooo.
Hapa ndipo napowakumbuka wabunge vidume kina Njelu Kasaka, Chrisant Mzindakaya, Sebastian Kinyondo, Mateo Quresi, Patrick Qorro sio hawa wanaosema kila kitu ndioooo.