MAFILILI
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 2,377
- 1,194
Hivi karibuni tumeshuhudia wabunge wa viti maalum wakihamia CCM kutoka CHADEMA tena wakitoa kashfa kwa chama walichotoka.
Nachukua fursa hii kuhoji kwa wabobezi wa Siasa za vyama iwapo kuhama kwao kuna madhara kwa CHADEMA ama CCM imefaidika kisiasa.
Mbaya zaidi wengi wa wabunge waliohama walikuwa hawafahamiki wala hawajawahi kutoa hoja yenye nguvu wakiwa mjengoni.
Nashindwa kuamini pamoja na ubobezi wa CCM kisiasa kwa sababu zipi zimewafanya kuchukua wabunge wasio na mashiko wala majina kiasi kwamba kuhama kwao hakuna kishindo chochote.
Nachukua fursa hii kuhoji kwa wabobezi wa Siasa za vyama iwapo kuhama kwao kuna madhara kwa CHADEMA ama CCM imefaidika kisiasa.
Mbaya zaidi wengi wa wabunge waliohama walikuwa hawafahamiki wala hawajawahi kutoa hoja yenye nguvu wakiwa mjengoni.
Nashindwa kuamini pamoja na ubobezi wa CCM kisiasa kwa sababu zipi zimewafanya kuchukua wabunge wasio na mashiko wala majina kiasi kwamba kuhama kwao hakuna kishindo chochote.