Wabunge wa Upinzani wavaa Mavazi meupe na meusi kupinga Miswada ya dharura ya usimamizi wa raslimali

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Mar 9, 2015
14,243
34,899

Viongozi na Wabunge wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni wameweka msimamo kuhususiana na namna bunge lilivyoendeshwa kwenye mjadala wa kupitisha miswada ya rasilimali za nchi.

Katika mapitio ya miswada hiyo iliyoletwa kwa hati ya dharura, Wabunge wa upinzani walipeleka majedwali ya marekebisho ya vifungu vya Sheria (schedule of ammendments) kwa katibu wa Bunge kwa maslahi ya nchi lakini cha kushangaza mapendekezo hayo yalikataliwa.

IMG-20170703-WA0022.jpg

Wabunge wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni leo (Julai 3) wamevaa mavazi meupe na meusi wakipinga miswada inayozungumzia usimamizi na umiliki wa rasilimali kuwasilishwa kwa hati ya dharura.

Kiongozi wa kambi hiyo, Freeman Mbowe amesema hatua hiyo inalenga kuonyesha msiba kwa Taifa unaoendelea kutokea katika uchumi kutokana na kukosekana kwa muda wa kutosha kuchambua na kujadili miswada hiyo.

Miswada hiyo ni ya sheria ya mapitio na majadiliano kuhusu masharti katika mikataba ya maliasili za nchi na muswada wa sheria ya mamlaka ya nchi kuhusu umiliki wa maliasili.

Alipoulizwa kama kesho watavaa mavazi hayo kwa sababu hata muswada wa marekebisho ya sheria mbalimbali wa mwaka 2017 umewasilishwa kwa hati ya dharura, Mbowe amesema kesho ni kesho.
 
Hivi tangu lini hawa 'wapinzani wa kipindi hiki' wakawa na progressive ideas kiasi cha kushawishi Bunge kukubaliana na mapendekezo yao. Wao kila siku wanataka serikali ishindwe/isifanikiwe kuendesha shughuli zake. Tumewaona juzi juzi wakikejeli hata intervention ya serikali kwenye biashara ya mchanga wa madini. Wakiwashangilia Acacia na kuwashauri wapeleke kesi mahakamani kusudi wao wawatee huko, na kwamba iwapo ingefikishwa mahakamani, kesi hiyo ingeisha ndani yadakika 15. These guys are and have wicked minds against everything and steps taken by Government to take this country forward. Let them languish in sombres!
 
Viongozi na Wabunge wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni wameweka msimamo kuhususiana na namna bunge lilivyoendeshwa kwenye mjadala wa kupitisha miswada ya rasilimali za nchi.

Katika mapitio ya miswada hiyo iliyoletwa kwa hati ya dharura, Wabunge wa upinzani walipeleka majedwali ya marekebisho ya vifungu vya Sheria (schedule of ammendments) kwa katibu wa Bunge kwa maslahi ya nchi lakini cha kushangaza mapendekezo hayo yalikataliwa.

View attachment 534808
lazima kua macho na mapendekezo yao. wanachotaka wao ni kupata umashuhuri au kutumika na mabwanyenye.
 
Mnyika alikuja na gia bungeni ya mapendekezo yao kukataliwa, alipozomewa akabadili kauli kuwa "baadhi* yamekataliwa. Mbowe pia kwanza na shedule of amendment kukataliwa lakini baadae ana kiri ni baadhi yamekataliwa. Hivi walitaka kila wanacholeta bungeni kipitishwe bila arguments? Sababu kimeletwa na upinzani?
 
Hivi tangu lini hawa 'wapinzani wa kipindi hiki' wakawa na progressive ideas kiasi cha kushawishi Bunge kukubaliana na mapendekezo yao. Wao kila siku wanataka serikali ishindwe/isifanikiwe kuendesha shughuli zake. Tumewaona juzi juzi wakikejeli hata intervention ya serikali kwenye biashara ya mchanga wa madini. Wakiwashangilia Acacia na kuwashauri wapeleke kesi mahakamani kusudi wao wawatee huko, na kwamba iwapo ingefikishwa mahakamani, kesi hiyo ingeisha ndani yadakika 15. These guys are and have wicked minds against everything and steps taken by Government to take this country forward. Let them languish in sombres!

Why do you want them to support and abide with what the government says??

That's why they are in opposition side

Your stupid mind needs somekind of repay
 
Hivi tangu lini hawa 'wapinzani wa kipindi hiki' wakawa na progressive ideas kiasi cha kushawishi Bunge kukubaliana na mapendekezo yao. Wao kila siku wanataka serikali ishindwe/isifanikiwe kuendesha shughuli zake. Tumewaona juzi juzi wakikejeli hata intervention ya serikali kwenye biashara ya mchanga wa madini. Wakiwashangilia Acacia na kuwashauri wapeleke kesi mahakamani kusudi wao wawatee huko, na kwamba iwapo ingefikishwa mahakamani, kesi hiyo ingeisha ndani yadakika 15. These guys are and have wicked minds against everything and steps taken by Government to take this country forward. Let them languish in sombres!
And thats' the best you made out of this debate??!!

Unaweza kutumbua ni kipi cha maana walichopendekeza kulinda maliasili?
N.a. nini walichofanya wapinzani kufifisha "vita" ya makinikia zaidi ya serikali kukataa hadharani mikataba n.a. ripoti?

Kwa akili ya kawaida nani "mchawi " kati ya serikali n.a. upinzani?
 
Why do you want them to support and abide with what the government says??

That's why they are in opposition side

Your stupid mind needs somekind of repay
.......I think you meant, "somekind of repair" and not......."repay"...
 
Why do you want them to support and abide with what the government says??

That's why they are in opposition side

Your stupid mind needs somekind of repay
It is the stupid mind that doesn't understand even the very elementary definition of political opposition, whereas common overarching goal of parliament is to push the country forward through public policy making with national public interest a unifying/common bond. Short of this philosophical notion it is the doomed cosmology.
 
And thats' the best you made out of this debate??!!

Unaweza kutumbua ni kipi cha maana walichopendekeza kulinda maliasili?
N.a. nini walichofanya wapinzani kufifisha "vita" ya makinikia zaidi ya serikali kukataa hadharani mikataba n.a. ripoti?

Kwa akili ya kawaida nani "mchawi " kati ya serikali n.a. upinzani?
wasting time, please switch to public interest dimension discourse.
 
Katika mapitio ya miswada hiyo iliyoletwa kwa hati ya dharura, Wabunge wa upinzani walipeleka majedwali ya marekebisho ya vifungu vya Sheria (schedule of ammendments) kwa katibu wa Bunge kwa maslahi ya nchi lakini cha kushangaza mapendekezo hayo yalikataliwa.

Mambo mengine bana; sasa nilivyosema juzi wasichangie mswada huu watu walifikiria nimesema hivyo kwanini? Ni kweli wanashangaa mapendekezo yao yamekataliwa?
 
At least ningewasikia hata siku moja wakipongeza manzuri yanayofanywa na serikali lakini kwa hii staili ya kupinga kila kitu nawaona ni wapuuzi tu. Kila mwaka mnajadili hayo hayo mnataka tena muda wa nini. Na mbaya zaidi hata mkipewa muda hakuna hata siku moja mnayounga mkono zaidi ya kupinga tu kila kitu.
 
Kambi ya upinzani bongo ni sawa na kikundi cha mipasho hawajui wanataka nini..kuna wabunge wa upinzani wao kujaza matumbo yao ndio shughuli ilompeleka bungeni..hovyo kabisa hawa bongolala.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom