George Maige Nhigula Jr.
JF-Expert Member
- Mar 14, 2008
- 470
- 149
Ndugu Wana JF,
Nadhani ni jambo la busara wabunge wetu wote wa kambi ya upinzani ambao ni zaidi ya 50 waungane pamoja ili tuweze kupata speaker ambaye ataweza kuliongoza bunge kwa kujali maslahi ya taifa bila uoga na kwa ujasiri mkubwa, kwa mtazamo wangu mama Anne Kilango ni kamanda mzuri kumuunga mkono, na kutakuwa na wabunge wa CCM watakaemuunga mkono ambao wanapenda uadilifu, lakini tukifanya mchezo Kinana anaweza kuwa speaker na hilo litakuwa pigo kubwa sana kwa wapenda mabadiliko kote Tanzania, ndani ya ccm na ndani ya vyama vya upinzani.
Hivyo wapenda mabadiliko wote inabidi wajipange vizuri ili kuhakikisha tunapata speaker attakaeliwezesha bunge kupeleka agenda za mabadiliko na uwajibikaji serikarini.
Napenda kuwakilisha hoja.
Nadhani ni jambo la busara wabunge wetu wote wa kambi ya upinzani ambao ni zaidi ya 50 waungane pamoja ili tuweze kupata speaker ambaye ataweza kuliongoza bunge kwa kujali maslahi ya taifa bila uoga na kwa ujasiri mkubwa, kwa mtazamo wangu mama Anne Kilango ni kamanda mzuri kumuunga mkono, na kutakuwa na wabunge wa CCM watakaemuunga mkono ambao wanapenda uadilifu, lakini tukifanya mchezo Kinana anaweza kuwa speaker na hilo litakuwa pigo kubwa sana kwa wapenda mabadiliko kote Tanzania, ndani ya ccm na ndani ya vyama vya upinzani.
Hivyo wapenda mabadiliko wote inabidi wajipange vizuri ili kuhakikisha tunapata speaker attakaeliwezesha bunge kupeleka agenda za mabadiliko na uwajibikaji serikarini.
Napenda kuwakilisha hoja.