CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,862
- 9,197
Wabunge wa Tanzania kwenye Jumuia ya Africa Mashariki wametetea kwa nguvu zote kenya Kujenga Uwanja wa Kimataifa wa Ndege jirani na Uwanja wa Kimataifa wa Kilimanjaro, wanadai hauna shida kabisa na ni mipango ya Serikali ya Kenya,
Source CHANNEL 5(EATV)
Source CHANNEL 5(EATV)