Jasusi Mbobezi
Senior Member
- May 17, 2020
- 195
- 851
Wabunge wengi huwa wanachangia kanakwamba hawana connection na mitaa ninayoishi na kutembelea mimi Jasusi Mbobezi. Mitaa wanayoishi wabunge wetu wengi Rais anakubalika sana na wananchi.
Mitaa wanayoishi wao wananchi wanaikubali sana serikali na kuunga mkono kila kinachofanywa na serikali ya awamu ya 6.
Mitaa wanayoishi wananchi wana raha sana yaani, kika kitu kipo sawa hakuna manung'uniko kabisa.
Naombeni kujua hiyo mitaa namimi nije huko jamani maana huku kwetu tumeshachoshwa na hii awamu tunatamani 2025 tupate mtu.
Mitaa wanayoishi wao wananchi wanaikubali sana serikali na kuunga mkono kila kinachofanywa na serikali ya awamu ya 6.
Mitaa wanayoishi wananchi wana raha sana yaani, kika kitu kipo sawa hakuna manung'uniko kabisa.
Naombeni kujua hiyo mitaa namimi nije huko jamani maana huku kwetu tumeshachoshwa na hii awamu tunatamani 2025 tupate mtu.