nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
Hili ndio Jengo Serikali imelinunua, Ubalozi NY utahamia hapo. Ni Jengo la Ghoroafa 6; kwahiyo watapangisha Vyumba Vingine.
Wabunge wanayoiwakilisha Tanzania kwenye Jumuia Ya Madola; Kutoka Kushoto Mh. John Shibuda, Mussa Hassan Zungu (Ilala) Ofisa wa Ubalozi Ms. Rose Mkapa na Lucy Owenya (Chadema Viti Maalumu)
Shibuda, Hassan Zungu, Balozi Sefue, Lucy Owenya na Ofisa Saidi Yakubu.
Wabunge wanayoiwakilisha Tanzania kwenye Jumuia Ya Madola; Kutoka Kushoto Mh. John Shibuda, Mussa Hassan Zungu (Ilala) Ofisa wa Ubalozi Ms. Rose Mkapa na Lucy Owenya (Chadema Viti Maalumu)
Shibuda, Hassan Zungu, Balozi Sefue, Lucy Owenya na Ofisa Saidi Yakubu.