Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
Sio kila jambo linalohusu usalama wa nchi ni la kutolewa ufafanuzi kwa wanasiasa. Not every aspect of state security should be clarified to politicians.
Mfano wabunge wanaowakilisha majimbo mbalimbali ndani ya jiji la Dar wanaweza kuomba kujua "Informers wa Police" wote waliopo ndani ya jiji zima kwa maana wanalipwa kupitia pesa ambazo ni kodi za watanzania.
Je, hii ni sahihi kwa waziri wa mambo ya ndani kutoa majina yao? Kuna mambo ya kutolewa taarifa na mengine ya kukatalia kutoa taarifa (sahihi). Full Stop...!!!!!
Huko Marekani magaidi waliokubali kuwa recruited na CIA na kutumika kama double agents wao kwa Al Qaeda walifutiwa mashikata na ofisi ya DPP wa Marekani na kuachiwa kwa kazi maalum kwenda nchi za waarabu kama vileQatar, Jordan na Lebanon kupeleleza viongozi waandamizi wa makundi mengine ya kigaidi. Waliokataa kutoa ushirikiano walipewa mashtaka mengine zaidi kwa maslahi ya kiulinzi ya Marekani.
Ofisi kama hizo za DPP na ile ya mwanasheria mkuu wa serikali (AG) zinafanya kazi kwa ukaribu mkubwa sana na vyombo vingine vya usalama hivyo msiwalaumu wanapotimiza wajibu wao unaoweza kuwakera nyie kama vile kubambikia watu kesi au kunyima dhamana ila ni kwa maslahi ya taifa. Kwa nchi kama Marekani, kuna wakati kunyima watu dhamana (Coercion) ni muhimu ili mtuhumiwa aweze kutoa ushirikiano kwa dola.
UTANGULIZI
==========
Baada ya tukio la kigaidi la September 11 mwaka 2001, aliyekuwa director wa Central Intelligence Agency (CIA) kwa wakati huo aliitwa mbele ya bunge la marekani na kuhojiwa kuhusiana na masuala yahusuyo ulinzi na usalama wa taifa hilo.
Moja kati ya maswali mengi aliyoulizwa ni kuwa kuna uhusiano gani wa kiutendaji wa kazi kati ya idara ya ujasusi ya jeshi (Military Intelligence Wing), FBI pamoja na CIA katika kuzuia matukio ya uhalifu na kigaidi kutokea ndani ya ardhi ya marekani.
Director wa CIA hakutoa ufafanuzi wowote ule zaidi ya kutoa jibu moja tu kwa kusema "that information is classified" baaaas hakuendelea tena, which means not every aspect of state security should be clarified to politicians
MAONI YANGU BINAFSI KUHUSIANA NA SUALA ZIMA LA KUWACHUKUA MATEKA WATU WABAYA (WITH REFERENCE TO CHINA)
Si kila mwenye uraia wa China ni mtu salama kwa maslahi mema na ustawi wa nchi hiyo.
Nchi ya China ina maadui wa ndani pamoja na nje wanaopanga mipango ya kuidhoofisha kila saa na kila dakika. Hivyo ni kazi ya vyombo vya dola kuwatambua na kuwadhoofisha kama sio kuwamaliza kabisa kabla hawajaleta madhara makubwa kwa wananchi na taifa kwa ujumla.
Huyo mtu adui anaweza kuwa hata ni ndugu yangu mimi au ndugu yako wewe wa karibu lakini mimi na wewe tusiwajue ila wataalam wa mambo ya usalama wa nchi husika wakawajua mpaka njama zao.
Hivyo suala la watu kuchukuliwa mateka na kuhojiwa kwa nchi kama China ni kitu kisichoepukia kwa nchi kutaka kujilinda na kusonga mbele.
Hizo nchi mnazoziona zimeendelea na mnahisi zina viwango vya juu sana vya haki za binadamu na demokrasia kama Marekani, German, Uingereza na hata Japan zipo katika kiwango hicho cha maendeleo si kwa bahati mbaya. Hapana. Idara zao za usalama ni wakali sana.
Unafikiri hawafanyiwi hujuma hao jamaa? Unafikiri serikali zao hazina vikosi za kuchukua mateka (abduction squads)??? Wanavyo. Tena wapo very sophisticated, equipped with modern weaponry and techniques.
Nchi ya China ina maadui wanaofanya kazi muda wote kutaka kuihujumu politically, economically hata socially pia (kueneza mienendo itakayoweza kupelekea mmomonyoko wa maadili hata kuua uzalendo miongoni mwa wachina kama nyimbo za kuua uzalendo kwa vijana zinawezekana ni brainwashing song kwa vijana ili kuhujumu akili zao kwa manufaa ya baadae) na maadui hao wanaweza kuwa ni watu wenye uraia wa China (walio ndani na nje) ama wasio wa China (walio ndani na nje ya nchi) wanaotaka kuwatumia raia wa China kudhoofisha nchi yao pasipo wao raia kujua ama kwa kujua na kuwapa rushwa na wapo ndani pia nje ya nchi ya China.
Kwa hiyo issue ya abduction squads ipo hata marekani na uingereza na ni muhimu sana kwa nchi kujilinda, sembuse China.
Alafu kuhusiana na Police ni kwamba, hawa jamaa hawapaswi kuwa wapole. Tofautisheni kati ya vituo vya police na nyumba za ibada.
Police kuwa wakali sana inasaidia hata mtu akitaka kutenda kosa kama vile ulawiti lazima awaze mara mbili mbili itakuwaje kama akipelekwa police akakutana na wale jamaa wa stakishari au Oysterbay, hivyo ana ahirisha mara moja kutenda uhalifu.
ANGALIZO: Sipo JF kufurahisha. Nipo hapa kufafanua ninayoyajua akilini mwangu.
I STAND TO BE CORRECTED. NINAKARIBISHA WAKOSOAJI.
OUR MOTTO: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO
Mfano wabunge wanaowakilisha majimbo mbalimbali ndani ya jiji la Dar wanaweza kuomba kujua "Informers wa Police" wote waliopo ndani ya jiji zima kwa maana wanalipwa kupitia pesa ambazo ni kodi za watanzania.
Je, hii ni sahihi kwa waziri wa mambo ya ndani kutoa majina yao? Kuna mambo ya kutolewa taarifa na mengine ya kukatalia kutoa taarifa (sahihi). Full Stop...!!!!!
Huko Marekani magaidi waliokubali kuwa recruited na CIA na kutumika kama double agents wao kwa Al Qaeda walifutiwa mashikata na ofisi ya DPP wa Marekani na kuachiwa kwa kazi maalum kwenda nchi za waarabu kama vileQatar, Jordan na Lebanon kupeleleza viongozi waandamizi wa makundi mengine ya kigaidi. Waliokataa kutoa ushirikiano walipewa mashtaka mengine zaidi kwa maslahi ya kiulinzi ya Marekani.
Ofisi kama hizo za DPP na ile ya mwanasheria mkuu wa serikali (AG) zinafanya kazi kwa ukaribu mkubwa sana na vyombo vingine vya usalama hivyo msiwalaumu wanapotimiza wajibu wao unaoweza kuwakera nyie kama vile kubambikia watu kesi au kunyima dhamana ila ni kwa maslahi ya taifa. Kwa nchi kama Marekani, kuna wakati kunyima watu dhamana (Coercion) ni muhimu ili mtuhumiwa aweze kutoa ushirikiano kwa dola.
UTANGULIZI
==========
Baada ya tukio la kigaidi la September 11 mwaka 2001, aliyekuwa director wa Central Intelligence Agency (CIA) kwa wakati huo aliitwa mbele ya bunge la marekani na kuhojiwa kuhusiana na masuala yahusuyo ulinzi na usalama wa taifa hilo.
Moja kati ya maswali mengi aliyoulizwa ni kuwa kuna uhusiano gani wa kiutendaji wa kazi kati ya idara ya ujasusi ya jeshi (Military Intelligence Wing), FBI pamoja na CIA katika kuzuia matukio ya uhalifu na kigaidi kutokea ndani ya ardhi ya marekani.
Director wa CIA hakutoa ufafanuzi wowote ule zaidi ya kutoa jibu moja tu kwa kusema "that information is classified" baaaas hakuendelea tena, which means not every aspect of state security should be clarified to politicians
MAONI YANGU BINAFSI KUHUSIANA NA SUALA ZIMA LA KUWACHUKUA MATEKA WATU WABAYA (WITH REFERENCE TO CHINA)
Si kila mwenye uraia wa China ni mtu salama kwa maslahi mema na ustawi wa nchi hiyo.
Nchi ya China ina maadui wa ndani pamoja na nje wanaopanga mipango ya kuidhoofisha kila saa na kila dakika. Hivyo ni kazi ya vyombo vya dola kuwatambua na kuwadhoofisha kama sio kuwamaliza kabisa kabla hawajaleta madhara makubwa kwa wananchi na taifa kwa ujumla.
Huyo mtu adui anaweza kuwa hata ni ndugu yangu mimi au ndugu yako wewe wa karibu lakini mimi na wewe tusiwajue ila wataalam wa mambo ya usalama wa nchi husika wakawajua mpaka njama zao.
Hivyo suala la watu kuchukuliwa mateka na kuhojiwa kwa nchi kama China ni kitu kisichoepukia kwa nchi kutaka kujilinda na kusonga mbele.
Hizo nchi mnazoziona zimeendelea na mnahisi zina viwango vya juu sana vya haki za binadamu na demokrasia kama Marekani, German, Uingereza na hata Japan zipo katika kiwango hicho cha maendeleo si kwa bahati mbaya. Hapana. Idara zao za usalama ni wakali sana.
Unafikiri hawafanyiwi hujuma hao jamaa? Unafikiri serikali zao hazina vikosi za kuchukua mateka (abduction squads)??? Wanavyo. Tena wapo very sophisticated, equipped with modern weaponry and techniques.
Nchi ya China ina maadui wanaofanya kazi muda wote kutaka kuihujumu politically, economically hata socially pia (kueneza mienendo itakayoweza kupelekea mmomonyoko wa maadili hata kuua uzalendo miongoni mwa wachina kama nyimbo za kuua uzalendo kwa vijana zinawezekana ni brainwashing song kwa vijana ili kuhujumu akili zao kwa manufaa ya baadae) na maadui hao wanaweza kuwa ni watu wenye uraia wa China (walio ndani na nje) ama wasio wa China (walio ndani na nje ya nchi) wanaotaka kuwatumia raia wa China kudhoofisha nchi yao pasipo wao raia kujua ama kwa kujua na kuwapa rushwa na wapo ndani pia nje ya nchi ya China.
Kwa hiyo issue ya abduction squads ipo hata marekani na uingereza na ni muhimu sana kwa nchi kujilinda, sembuse China.
Alafu kuhusiana na Police ni kwamba, hawa jamaa hawapaswi kuwa wapole. Tofautisheni kati ya vituo vya police na nyumba za ibada.
Police kuwa wakali sana inasaidia hata mtu akitaka kutenda kosa kama vile ulawiti lazima awaze mara mbili mbili itakuwaje kama akipelekwa police akakutana na wale jamaa wa stakishari au Oysterbay, hivyo ana ahirisha mara moja kutenda uhalifu.
ANGALIZO: Sipo JF kufurahisha. Nipo hapa kufafanua ninayoyajua akilini mwangu.
I STAND TO BE CORRECTED. NINAKARIBISHA WAKOSOAJI.
OUR MOTTO: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO
Wakili Mwanadamizi Slyvester Mwakitalu ni moja ya Mawakili waliokuwa chini ya DDP aliyepita na ambao walisimama kidete kutete Jamhuri kuhusu watuhumiwa kunyimwa dhamana.
Beatrice Kamugisha, mambo mengine ni ya mslahi ya Taifa zaidi mkuu. Huko Marekani magaidi waliokubali kuwa recruited na kutumika kama double agents wa Al Qaeda walifutiwa mshikata na ofisi ya DPP wa Marekani na kuachiwa kwa kazi maalum kwenda nchi kama Jordan na Lebanon kupeleleza viongozi waandamizi wa makundi mengine ya kigaidi.
Ofisi kama hizo za D.P.P na ile ya mwanasheria mkuu wa serikali - AG (Attorney General) zinafanya kazi kwa ukaribu mkubwa sana na vyombo vya ulinzi na usalama kama vile Police hivyo msiwalaumu wanapotimiza wajibu wao unaoweza kuwakera nyie ila ni kwa maslahi ya taifa.
Kwa nchi kama Marekani, kuna wakati kunyima watu dhamana (Coercion) ni muhimu ili mtuhumiwa aweze kutoa ushirikiano kwa dola.