Twamo
JF-Expert Member
- May 27, 2017
- 2,881
- 4,993
Ni mtaalam wa kususa! Wakati wa kura za mchujo za wagombea uraisi wa ccm yeye na kina Nchimbi waligoma wakatoka nje ya ukumbi! Na sasa huko bunge la Afrika mashariki inaonekana katia sumu yake kwa wabunge wa Tz ili wagomee bunge hilo!CV ya KIMBISA please