Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
Mbunge wa Mufundi Kaskazini, Mahamud Mgimwa? amesema hataweza kuvumilia kuona wagonjwa katika jimbo hilo wakibebwa kwa kutumia machela na kwa hiyo ameamua kutumia Sh. 90 milioni, alizokopeshwa na serikali. ameamua kuzitumia hizo pesa kununulia magari matatu ya kubebea wagonjwa. amesema sina sababu ya kutembelea gari la Sh 90 milioni, wakati wananchi wangu wanatumia baiskeli kusafirisha wagonjwa.
SOURCE: MWANANCHI MEI 23 2010.
Huyu mbunge kwa kweli ni mbunge mwenye kujua majukumu yake, wabunge wengine fanyeni kama alivyofanya mwenzenu
SOURCE: MWANANCHI MEI 23 2010.
Huyu mbunge kwa kweli ni mbunge mwenye kujua majukumu yake, wabunge wengine fanyeni kama alivyofanya mwenzenu