Damu ni nzito kuliko maji!
Nachukua fursa hii kuhoji ukimya wa Wabunge wa Mkoa wa Singida, kwa kukaa kimyaa baada ya mwenzao kuumizwa na magaidi!
Hivi mnatupa picha gani kukaa kimya pale mwenzenu anapopata shida? Hivi vyama venu ni muhimu kuliko undugu?
Hakika hili tutahoji, subirini muda ufike.
Nachukua fursa hii kuhoji ukimya wa Wabunge wa Mkoa wa Singida, kwa kukaa kimyaa baada ya mwenzao kuumizwa na magaidi!
Hivi mnatupa picha gani kukaa kimya pale mwenzenu anapopata shida? Hivi vyama venu ni muhimu kuliko undugu?
Hakika hili tutahoji, subirini muda ufike.