Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
Musoma mjini alijaribu yule RPC wa zamani Kamanda Wandwi lakini miaka yote amekuwa akishindwa hadi mwaka jana!!Hapana. Musoma Vijijini ndio alikuwa Balozi Paul Ndobho. Musoma Mjini alichukua yule Daktari aliyeumbuliwa na Mwalimu hadharani.