Pasco_jr_ngumi
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 1,802
- 282
Jana wamezindua bomba la gesi kutoka Mtwara hadi Dar...
Zitto Kabwe alikuwepo, nasikia nae yumo kwenye kujimilikisha maeneo Mtwara!!!!
Nani kawaambia gesi oende huko badala ya kujenga mtambo huku then umeme ndo uende huko?? Utadhani wataishi milele!!!
Ubunge ni kazi unayopewa na wananchi. Mwajiri wako au Boss ni wananchi, iweje nyinyi mnakula raha Dar kwenye viyoyozi huku sisi tunapigika na vumbi!!!
Mtwara-Tandahimba-Newala-Masasi-hadi Nachingwea road yote hamna lami......
Tunashukuru mzee mkapa na kikwete, elimu vijana tumepata, na hatuna ajira!!! So tunarudi vijijini kuomba ajira kwa wananchi tuikomboe kusini!!!!
CCM kidumu chama letu, CDM pipoz pawaaaaa, CUF ngangri......
Zitto Kabwe alikuwepo, nasikia nae yumo kwenye kujimilikisha maeneo Mtwara!!!!
Nani kawaambia gesi oende huko badala ya kujenga mtambo huku then umeme ndo uende huko?? Utadhani wataishi milele!!!
Ubunge ni kazi unayopewa na wananchi. Mwajiri wako au Boss ni wananchi, iweje nyinyi mnakula raha Dar kwenye viyoyozi huku sisi tunapigika na vumbi!!!
Mtwara-Tandahimba-Newala-Masasi-hadi Nachingwea road yote hamna lami......
Tunashukuru mzee mkapa na kikwete, elimu vijana tumepata, na hatuna ajira!!! So tunarudi vijijini kuomba ajira kwa wananchi tuikomboe kusini!!!!
CCM kidumu chama letu, CDM pipoz pawaaaaa, CUF ngangri......