JamiiForums
JF Official Account
- Nov 9, 2006
- 6,202
- 5,012
Posted by FJM
Kwenye gazeti la Habari Leo (Jumapili 13/May), kuna habari inasema kuwa "Wabunge wa Marekani wataunda kamati ya bunge lao kuitetea na kuisemea Tanzania kwa kila jambo!"
Hapa nakuwa na maswali mengi sana:
1. Kuisemelea Tanzania kwa sababu gani? Tanzania ni taifa huru kwa nini wasemelewe?
2. Kuisemea kwa kila jambo - maana yake nini? Mambo yote? yepi?
3. Huu urafiki wa Tanzania na marekani unaliweka waki taifa la Tanzania?
4. Na kwanini tunahitaji utetezi ndani ya bunge la Marekani? Ni kitu gani hasa tunakitaka ndani ya bunge la Marekani?
5. Balozi wetu ameshindwa kuitetea na kuisemea Tanzania? Kama jibu ni ndio kwa nini tusifunge ubalozi wetu huko maana tayari bunge la Marekani linajiandaa kufanya hiyo kazi?
Kwenye gazeti la Habari Leo (Jumapili 13/May), kuna habari inasema kuwa "Wabunge wa Marekani wataunda kamati ya bunge lao kuitetea na kuisemea Tanzania kwa kila jambo!"
Hapa nakuwa na maswali mengi sana:
1. Kuisemelea Tanzania kwa sababu gani? Tanzania ni taifa huru kwa nini wasemelewe?
2. Kuisemea kwa kila jambo - maana yake nini? Mambo yote? yepi?
3. Huu urafiki wa Tanzania na marekani unaliweka waki taifa la Tanzania?
4. Na kwanini tunahitaji utetezi ndani ya bunge la Marekani? Ni kitu gani hasa tunakitaka ndani ya bunge la Marekani?
5. Balozi wetu ameshindwa kuitetea na kuisemea Tanzania? Kama jibu ni ndio kwa nini tusifunge ubalozi wetu huko maana tayari bunge la Marekani linajiandaa kufanya hiyo kazi?
Last edited by a moderator: