Wabunge wa Lowassa wamerudi CCM na kumpa majibu Dr Slaa kwamba mzee wao alikuwa ni Liability kwa CHADEMA!

Poor you!

Ni "Jiwe" ndio liability kwa nchi na maendeleo ya nchi yako kwa ujumla kwani tunateketeza kodi kurudia chaguzi huku hospitali hazina hata madawa, nchi imejaa madeni, n.k,

Isitoshe, mkakati huu hauisadi CCM kwasababu wanaohama ni mercenaries na sio wananchi (wapiga kura).

Kwa ujinga wenu ,ndio maana hata kwenye makinikia wanaume waliwajaza vitumbo
 
Poor you!

Ni "Jiwe" ndio liability kwa nchi na maendeleo ya nchi yako kwa ujumla kwani tunateketeza kodi kurudia chaguzi huku hospitali hazina hata madawa, nchi imejaa madeni, n.k,

Isitoshe, mkakati huu hauisadi CCM kwasababu wanaohama ni mercenaries na sio wananchi (wapiga kura).

Kwa ujinga wenu ,ndio maana hata kwenye makinikia wanaume waliwajaza vitumbo
Dr slaa ndie anayetaka majibu mkuu naona unazidiwa na maradhi kila kukichwa!
 
Poor you!

Ni "Jiwe" ndio liability kwa nchi na maendeleo ya nchi yako kwa ujumla kwani tunateketeza kodi kurudia chaguzi huku hospitali hazina hata madawa, nchi imejaa madeni, n.k,

Isitoshe, mkakati huu hauisadi CCM kwasababu wanaohama ni mercenaries na sio wananchi (wapiga kura).

Kwa ujinga wenu ,ndio maana hata kwenye makinikia wanaume waliwajaza vitumbo
Jibu swali moja lowasa ni asset au liability?a
 
Poor you!

Ni "Jiwe" ndio liability kwa nchi na maendeleo ya nchi yako kwa ujumla kwani tunateketeza kodi kurudia chaguzi huku hospitali hazina hata madawa, nchi imejaa madeni, n.k,

Isitoshe, mkakati huu hauisadi CCM kwasababu wanaohama ni mercenaries na sio wananchi (wapiga kura).

Kwa ujinga wenu ,ndio maana hata kwenye makinikia wanaume waliwajaza vitumbo
Nasikia Ole Milya amekirudia Chama Dume!
 
Write your reply...kwahiyo Dr slaa ni asset kwa mccm? .tunajua hapa chadema ndo inajengeka na kuwa imara sana...kwa sababu mashetan wote naona wanakimbia nuru na kwenda kuzimu(gizani) shetan go go go....mukaunga na shetan mkuu uko. ukiona mtu anaamua kuasi (kuacha kumtumikia mungu)unadhan huyo bado bnadam wa ukweli??????. nasema mayoda go go goo.......... chadema itadumu zaidi.
 
NEC inayo majibu mazuri ya swali lako, na Dr mihogo anajua pia, unajua kwanini NEC hawataki wawakilishi wa upinzani katika talling center,.simply ni wezi, wakisaidiwa na tiss,jwtz na ndugu zeni wa damu police.
Jibu swali moja lowasa ni asset au liability?a
 
NEC inayo majibu mazuri ya swali lako, na Dr mihogo anajua pia, unajua kwanini NEC hawataki wawakilishi wa upinzani katika talling center,.simply ni wezi, wakisaidiwa na tiss,jwtz na ndugu zeni wa damu police.
Mimi na chadema lakini nalaani upuuzi amboa tuliufanya 2015 nauliza tena lowasa ni asset au liability?
 
Lowassa si alisema anakuja Na wabunge sijui 50!! Kipindi kile walipohamia chadema mliwaona malaika Leo wanarudi CCm mnawaona mashetani !! Hahahaaaaa!! Shame on you!!Kwenu Barababa,viwanda,ndege,reli ya kisasa nk siyo vya msingi!! ??? Eti Uhuru ( kana kwamba mmetekwa ) haki ( sijui haki ya kufanya au kuongea matusi) ndiyo vya msingi huko chadema!!! Hahahaa!! Nyumbani kwako ( chadema hakuna Uhuru Na haki) maana ukiutaka uenyekiti sijui ukahoji matumizi ya ruzuku unatishiwa( according to Zitto ,wangwe,Waitara nk)!!
 
Back
Top Bottom