johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,616
- 141,447
- Thread starter
- #41
Mpaka sasa bwashee....... Ni kama nyumba unayojenga kwenye kiwanja cha " kienyeji" ni tofauti na ya kiwanja chenye hati na matokeo yake huonekana baadae mji unapozidi kukua bwashee!Unajua hayo maneno "Asset" na "liability" yalikuwa na uthamani wakati gani?