RICHEST
Member
- Jun 23, 2011
- 25
- 16
Bunge la kenya limekuwa kali kusimamia maslahi ya wakenya hadi katiba mpya kupatikana.Pia wamesimamia bajeti kikamilifu kiasi kuwa bajeti ya Kenya inategemea mapato yao wenyewe ya ndani bajeti yao si tegemezi kama ya kwetu.
Hivyo wanastahili pongezi kwa kujali maslahi ya wakenya na usimamizi mzuri wa mapato na matumizi na kuifanya bajeti isiwe tegemezi.
Hivyo wanahaki kulipwa.
Hawa wabunge wa Tanzania naomba si tu wafutiwe posho naomba hata mishahara yao ipunguzwe walipwe kima cha chini.
Naomba kutoa hoja.
Hivyo wanastahili pongezi kwa kujali maslahi ya wakenya na usimamizi mzuri wa mapato na matumizi na kuifanya bajeti isiwe tegemezi.
Hivyo wanahaki kulipwa.
Hawa wabunge wa Tanzania naomba si tu wafutiwe posho naomba hata mishahara yao ipunguzwe walipwe kima cha chini.
Naomba kutoa hoja.