Wabunge wa JMT msipompa 'Uspika' Dkt. Tulia Ackson hakika 'nitawadharau' mpaka dunia itakapopinduka

Kumbe GENTAMYCINE aliposoma pale SAUT Darasa la ( 2006 - 2009 ) alisomea Sociology.

Pole kwa kuwa na huo Ubongo wako Uliosindikwa Mkuu na wahi Tiba Mirembe Hospital.

Oya Mheshimiwa Moses Machali niliyesoma nawe SAUT na Kukaa nawe Hostel ya Watukutu na Werevu ya Darfur na nikawa 'nakuonea' mno kwa 'Ubabe' wangu hebu mwambie huyu Zuzu ( Humbe ) nilisomea Kozi gani / ipi.
Kaa kwa kutulia Kilaza wewe!
 
Hili bunge hata lisipokuwa na spika mi naona poa tu.

Kwahiyo hata akipewa Tulia au mwanae au mjomba wake mimi naunga mkono hoja.

Ngoja niendelee kuutafuta ule mpira uliopotezwa na ile timu iliyofungwa magoli 11 kwenye mechi tatu
Hivi hata huo uchafu unaoitwa bunge, usipokuwepo, kutakuwa na tofauti gani?

Bunge na hata huyo spika, wote ambao zao la uchafu, hawana msaada wowote kwa nchi. Ni aheri lingefutwa, pesa wanazopewa hawa waharibifuvwanaoitwa wabunge, atumie Rais kwa safari, ili tozo zifutwe.
 
Kwani tuna bunge Tanzania? Sijawahi ona umuhimu wa bunge la Tanzania, nafikiri hata wakimweka DR. Msukuma poa tu,

Tuliwahi kuwa na bunge kipindi fulani alikuwepo Spika mmoja anaitwa Samweli Sitta, pale ndo tulikuwaga na bunge

Sasa hivi hamna chochote hata wakimweka kibajaji sawa tu, au kama vip kuondoa gharama za uendeshaji wa bunge ambazo tunatishwa watanzania lifutwe kabisa!!
Wazo la kufutwa hii takataka inayoitwa Bunge, naunga mkono.
 
Kama unavyomuona kuwa She's that Hopeless and Fool hata Sisi JF Brainy ( Einstein ) Members tunakuona nawe si tu ni Hopeless and Fool bali pia ni Certified Mental Jamvini hapa.
Uliishia darasa la ngapi? Siyo hopeless and fool, ni hopeless fool. Na unaposema certified mental, unamaanisha nini? Tafuta walimu wa chekechea, wapo wanaofahamu Kiingereza vizuri, watakufundisha. Hutakuwa na hiki Kiingereza cha kurushia neno moja moja mahali pasipostahili.
 
Kuna Wapuuzi wanamharibia atapita tu.

Katika Uchaguzi wa spika utakaofanyika Hivi karibuni, bila shaka ccm hawatarudia tabia mbaya ya Magufuli yakuwaengua watu ambao alikuwa anahisi walikuwa wanamzidi kwa elimu. Ushahidi ni pale alipowakata kugombea ubunge wale wote waliokuwa wasomi na wakubwa wa Umri kuliko yeye kama wakina Prof. Kapuya etc. na kuwa weka weaklings wake ambao angeweza kuwamanipulate kwa urahisi!!
Waacheni waliochukua form wachujwe kwa haki na sio kwa mizengwe. Waacheni wajieleze mbele ya vikao husika na kutokana na maelezo yao ndio wapigiwe kura.
Haitoshi watu kumpigia debe Tulia eti ni msomi na ana uzoefu hivyo anatosha!! Kama ni usomi na uzoefu utasemaje juu ya watu kama Andrew Chenge? Juu ya yote Tulia ni Deputy Speaker Hivi sasa na hajajiuzuru wadhifa huo hivyo anataka achaguliwe kuwa Spika huku bado ni deputy Speaker!! Double dipping is not allowed and immoral.
Watu waliojitokeza kugombea nafasi ya Spika wengi wao wanauwezo na wasomi wazuri wenye uzoefu wa nafasi; hivyo sina wasi wasi kabasa kuwa tutapata Spika mpya atakayeweka viwango vya kuridhisha humo bungeni.
As for Tulia's performance whenever she presided over parliamentary proceedings; she never showed seriousness when discussing serious issues for instance when she entertained childishness whenever Goodluck Mlinga then a member of parliament rose unnecessarily to raise points of order!!! A serious Speaker would never have entertained such time wasting stupidity.
 
GENTAMYCINE sijawahi Kukosea ama nikimpenda au nikimchukia Mtu (na hata rekodi zinanibeba) hivyo hata kama Watu wanachukua Fomu za Kugombea Uspika ila kwa Vigezo vyangu vingi na Sababu zangu nyingi namuona Naibu Spika Dk. Tulia Ackson anafaa na ndiyo Chaguo sahihi hasa kwa Bunge la sasa na Wabunge wasipompa nitawadharau hadi Kiama.

Kwa wale Wote ambao mtakwazika (mtakasirika ) kwa hili nililolisema tafadhali tafuteni upesi Sumu ya Panya 'Korogeni' katika Vikombe vyenu vya Chai au Maji ili mnywe na mpumzike kabisa nami.

Dk. Tulia Ackson ( Naibu Spika wa sasa ) tafadhali anza Kujiandaa sasa kuwa Spika wa Bunge la Tanzania kwani tayari una 'Baraka' zangu zote Mimi GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE (alias) Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer kwani hakuna na bado sijaona wa Kushindana nawe.

Na baada sasa ya Mimi kusema na kutaka Dk. Tulia Ackson ndiyo awe Spika wa Bunge niwaombe tu wale Wanaochukua Fomu waache upesi ( mara moja ) na waendelee na ratiba zao zingine kwani Wote hawana uwezo wa Kushindana na Dk. Tulia Ackson ambaye namuona ni Fundi na Mahiri kama Mchezaji wa Simba SC Pape Ousmane Sakho huku hawa ( hao ) waliochukua na watakaochukua Fomu nawaona ni wa 'hovyo hovyo' tupu kama Kipa wa Yanga SC Erick Johora ( Mdaka Kambale )

Rais Mwanamke na Spika Mwanamke!!!!!
Acha kuleta ujenda hapa
 
Tulia hafai, Bora hata ya Ndugai. Huyo atalifanya bunge kuwa kitengo Cha ikulu na sio mhimili wa dola.
 
Kuuliza si ujinga. Kwenu wataalamu wa sheria;

Tulia kachukua fomu ya kugombea U-spika.

Je, itakuwaje nafasi ya U-naibu Spika ikitokea Tulia kashinda kuwa Spika wa bunge?

Je, atashikilia nafasi zote mbili, yaani U-naibu Spika na Spika?

Au Tulia atajiuzulu nafasi ya U-naibu hivyo CCM watatangaza tena nafasi ya U-naibu Spika?



Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app


Huyo Tulia anayo tamaa, nasikia inatakiwa kwanza ajiuzuluu unaibu spika kisha ndio achukue fomu ya kugombea Uspika, kinachotokea ni; akikosa kimoja japo apate kimojawapo.
 
As for Tulia's performance whenever she presided over parliamentary proceedings; she never showed seriousness when discussing serious issues for instance when she entertained childishness whenever Goodluck Mlinga then a member of parliament rose unnecessarily to raise points of order!!! A serious Speaker would never have entertained such time wasting stupidity.


Hapa sikuelewi; ulitaka asi respond to the point of order raised by the Mp??!!
 
Hapa sikuelewi; ulitaka asi respond to the point of order raised by the Mp??!!

Haikuwa mara moja , yule Mlinga alikuwa anatumika kuhalibu mijadara ya wapinzani bungeni na yeye kama Spika alikuwa anashabikia ujinga ule!! Alifanya hivyo sio mara moja bali mara nyingi Ikawa ndio kama comedy bungeni!!
 
GENTAMYCINE sijawahi Kukosea ama nikimpenda au nikimchukia Mtu (na hata rekodi zinanibeba) hivyo hata kama Watu wanachukua Fomu za Kugombea Uspika ila kwa Vigezo vyangu vingi na Sababu zangu nyingi namuona Naibu Spika Dk. Tulia Ackson anafaa na ndiyo Chaguo sahihi hasa kwa Bunge la sasa na Wabunge wasipompa nitawadharau hadi Kiama.

Kwa wale Wote ambao mtakwazika (mtakasirika ) kwa hili nililolisema tafadhali tafuteni upesi Sumu ya Panya 'Korogeni' katika Vikombe vyenu vya Chai au Maji ili mnywe na mpumzike kabisa nami.

Dk. Tulia Ackson ( Naibu Spika wa sasa ) tafadhali anza Kujiandaa sasa kuwa Spika wa Bunge la Tanzania kwani tayari una 'Baraka' zangu zote Mimi GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE (alias) Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer kwani hakuna na bado sijaona wa Kushindana nawe.

Na baada sasa ya Mimi kusema na kutaka Dk. Tulia Ackson ndiyo awe Spika wa Bunge niwaombe tu wale Wanaochukua Fomu waache upesi ( mara moja ) na waendelee na ratiba zao zingine kwani Wote hawana uwezo wa Kushindana na Dk. Tulia Ackson ambaye namuona ni Fundi na Mahiri kama Mchezaji wa Simba SC Pape Ousmane Sakho huku hawa ( hao ) waliochukua na watakaochukua Fomu nawaona ni wa 'hovyo hovyo' tupu kama Kipa wa Yanga SC Erick Johora ( Mdaka Kambale )

Rais Mwanamke na Spika Mwanamke!!!!!
Kichaa kabisa wewe.
 
GENTAMYCINE sijawahi Kukosea ama nikimpenda au nikimchukia Mtu (na hata rekodi zinanibeba) hivyo hata kama Watu wanachukua Fomu za Kugombea Uspika ila kwa Vigezo vyangu vingi na Sababu zangu nyingi namuona Naibu Spika Dk. Tulia Ackson anafaa na ndiyo Chaguo sahihi hasa kwa Bunge la sasa na Wabunge wasipompa nitawadharau hadi Kiama.

Kwa wale Wote ambao mtakwazika (mtakasirika ) kwa hili nililolisema tafadhali tafuteni upesi Sumu ya Panya 'Korogeni' katika Vikombe vyenu vya Chai au Maji ili mnywe na mpumzike kabisa nami.

Dk. Tulia Ackson ( Naibu Spika wa sasa ) tafadhali anza Kujiandaa sasa kuwa Spika wa Bunge la Tanzania kwani tayari una 'Baraka' zangu zote Mimi GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE (alias) Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer kwani hakuna na bado sijaona wa Kushindana nawe.

Na baada sasa ya Mimi kusema na kutaka Dk. Tulia Ackson ndiyo awe Spika wa Bunge niwaombe tu wale Wanaochukua Fomu waache upesi ( mara moja ) na waendelee na ratiba zao zingine kwani Wote hawana uwezo wa Kushindana na Dk. Tulia Ackson ambaye namuona ni Fundi na Mahiri kama Mchezaji wa Simba SC Pape Ousmane Sakho huku hawa ( hao ) waliochukua na watakaochukua Fomu nawaona ni wa 'hovyo hovyo' tupu kama Kipa wa Yanga SC Erick Johora ( Mdaka Kambale )

Rais Mwanamke na Spika Mwanamke!!!!!
😍
 
Wabunge wa JMT wana machaguo Mawili tu ama Wamchague Dk. Tulia Ackson ( Sakho ) ili niwapende, niwabariki na niwaheshimu Milele au wasimchague kisha nianze Kuwadharau, Kuwachukia na kuwaombea Mabaya ( hasa Mabalaa ) mpaka mwaka 2025.
🤣
 
GENTAMYCINE sijawahi Kukosea ama nikimpenda au nikimchukia Mtu (na hata rekodi zinanibeba) hivyo hata kama Watu wanachukua Fomu za Kugombea Uspika ila kwa Vigezo vyangu vingi na Sababu zangu nyingi namuona Naibu Spika Dk. Tulia Ackson anafaa na ndiyo Chaguo sahihi hasa kwa Bunge la sasa na Wabunge wasipompa nitawadharau hadi Kiama.

Kwa wale Wote ambao mtakwazika (mtakasirika ) kwa hili nililolisema tafadhali tafuteni upesi Sumu ya Panya 'Korogeni' katika Vikombe vyenu vya Chai au Maji ili mnywe na mpumzike kabisa nami.

Dk. Tulia Ackson ( Naibu Spika wa sasa ) tafadhali anza Kujiandaa sasa kuwa Spika wa Bunge la Tanzania kwani tayari una 'Baraka' zangu zote Mimi GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE (alias) Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer kwani hakuna na bado sijaona wa Kushindana nawe.

Na baada sasa ya Mimi kusema na kutaka Dk. Tulia Ackson ndiyo awe Spika wa Bunge niwaombe tu wale Wanaochukua Fomu waache upesi ( mara moja ) na waendelee na ratiba zao zingine kwani Wote hawana uwezo wa Kushindana na Dk. Tulia Ackson ambaye namuona ni Fundi na Mahiri kama Mchezaji wa Simba SC Pape Ousmane Sakho huku hawa ( hao ) waliochukua na watakaochukua Fomu nawaona ni wa 'hovyo hovyo' tupu kama Kipa wa Yanga SC Erick Johora ( Mdaka Kambale )

Rais Mwanamke na Spika Mwanamke!!!!!
Kumbe hata wee umo ktk kundi la wachumia tumbo, elim bora ni ya kuzliwa nayo, ya darasan ni nyongeza

Sent from my TECNO BC2c using JamiiForums mobile app
 
13 Reactions
Reply
Back
Top Bottom