PapoKwaPapo
JF-Expert Member
- Jun 5, 2008
- 380
- 45
naona watu wanalalamika sana hapa jamvini eti Chadema waungane na CUF, naomba nitajiwe wabunge watano wa cuf wanaotaka kuungana na chadema......
Kwangu mimi huu ni muda muafaka kabisa kwa chadema kuonyesha kwamba wanaweza unda serikali.
so let cahadema go alone....
Kwangu mimi huu ni muda muafaka kabisa kwa chadema kuonyesha kwamba wanaweza unda serikali.
so let cahadema go alone....