Angalau walamba miguu aka team Nkamia bado uwaziri hawajapata. Huenda zile movements zao za "Magufuli baki.......Ikulu" zikayeyuka.Na huyu ni team ileile
Hawatarudia tena.Angalau walamba miguu aka team Nkamia bado uwaziri hawajapata. Huenda zile movements zao za "Magufuli baki.......Ikulu" zikayeyuka.
Hata wa CHADEMA sema nao wangechukua tu, kwani Wewe kwa akili yako umemwona Mbunge gani wa kukataa hela? Mbona wamejazana kila aina ya Kamati za Kudumu za Bunge lakini nao wamekuwa wakipiga sana hela za rushwa? Ama kwako wewe mtu akiingia CHADEMA ndio amebadilika tabia? Lini samaki aliyekauka akakunjika?Wangekuwa MACCM wahujumu uchumi wangechukua haraka sana bila hata kugeuka nyuma. Kumbuka October 25, 2016 pale lumumba kila mbunge wa MACCM alichukua rushwa ya milioni 10 bila woga wala aibu.
Ingekuwa hapa kwetu wange unga mkono hoja pendekezwa bila hata malipo yoyote. Namwona mu7 anatamani awe kijana wa miaka 35 sasa hivi..Wangekuwa MACCM wahujumu uchumi wangechukua haraka sana bila hata kugeuka nyuma. Kumbuka October 25, 2016 pale lumumba kila mbunge wa MACCM alichukua rushwa ya milioni 10 bila woga wala aibu.
Hata wa CHADEMA sema nao wangechukua tu, kwani Wewe kwa akili yako umemwona Mbunge gani wa kukataa hela? Mbona wamejazana kila aina ya Kamati za Kudumu za Bunge lakini nao wamekuwa wakipiga sana hela za rushwa? Ama kwako wewe mtu akiingia CHADEMA ndio amebadilika tabia? Lini samaki aliyekauka akakunjika?
Haijapata kutokeaBora hao wanajitambua, sio type ya kina nkamia na lusinde, Tz ina bunge la hovyo sana.
Mkuu,nawe umejitutumua ili uonekane nawe unatetea kijani?,kaz ipoHata wa CHADEMA sema nao wangechukua tu, kwani Wewe kwa akili yako umemwona Mbunge gani wa kukataa hela? Mbona wamejazana kila aina ya Kamati za Kudumu za Bunge lakini nao wamekuwa wakipiga sana hela za rushwa? Ama kwako wewe mtu akiingia CHADEMA ndio amebadilika tabia? Lini samaki aliyekauka akakunjika?
Tens ungesikia "wanafiki" waseme ndiyoo: haf ndiyoooooooooooo! Wasio wanafiki waseme siyoo: had siyo!Yangekua ya kwetu yangekubali......yani Tanzania sijui elimu ya ufahamu aliondoka nayo mwl Nyerere
Si mananiliu!Madude gani mkuu