Henry Kilewo
JF-Expert Member
- Feb 9, 2010
- 899
- 1,084
Ni Tundu Lissu, Godbless Lema & Freeman Mbowe (KUB).
Mkakati huo unafadhiliwa na watu wa usalama wa taifa na baadhi ya wahariri wa vyombo vya habari vinavyomilikiwa na umma, ambavyo hivi karibuni vimekuwa vikifanya kazi ya CCM.
Imetakiwa itumike kila njia kurudisha harakati za CHADEMA nyuma kabla ya 2013 na huku wakisema kwamba ni lazima waiangamize CHADEMA kwa kuangamiza wabunge wake machachari. (Kikao kimeka Girrafe Hotel Dar)
Mkakati huo unafadhiliwa na watu wa usalama wa taifa na baadhi ya wahariri wa vyombo vya habari vinavyomilikiwa na umma, ambavyo hivi karibuni vimekuwa vikifanya kazi ya CCM.
Imetakiwa itumike kila njia kurudisha harakati za CHADEMA nyuma kabla ya 2013 na huku wakisema kwamba ni lazima waiangamize CHADEMA kwa kuangamiza wabunge wake machachari. (Kikao kimeka Girrafe Hotel Dar)